idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
mkuu usifaninishe wananchi wa tunduma na sehem zingine za nchi.tunduma mjini wananchi wanajiweza kumbuka soko limejengwa kwa pesa zao na hii ni baada ya kutoka kuunguliwa muda sio mrefu soko ni la viwango vya kimataifa ndio maana hawababaishwi na siasa za ccmhahahahahaa...kweli aisee ukute soko halina mlango yaani halina mbele wala nyuma.