102 vehicles? All SUV !? plus 3 hedkoptaz!
Matumizi mabaya ya fedha za walipa Jodi
1. Taifa maskini
2. Watanzania maskini waliowengi
3. Elimu duni
4. Afya duni
Makodi mengi
Halafu hayo ndio matumizi kuunguza kodi Badala ya maendeleo
102 vehicles? All SUV !? plus 3 hedkoptaz!
Unaumia sana bila shakaNimeona mmemjengea kakaburi ka kisasa
Vijana wa CDNM huko twitani wamerukwa na wazimu, mmekosa ajenda mnaanza kujadili kuhusu ulinzi wa Rais,
mlitaka Rais alindwe na nani tutaacha lini ujinga wa kupinga kila kitu,
wapumbavu wameanza kutaka Mama samia afanye kila anachofanya Rais wa zambia Chilema,
yani Chilema msafara wake ukiwa na gari 10 na wa mama samia iwe hvyo hvyo
huu ni upumbavu
mwenyekiti wa Chama kaokota wapi watu wenye akili ndogo namna hii?
Jeshi na Tiss wanawajibu wa kuhakikisha Taasisi ya uRais inalindwa kwa kadri watakavyoona inafaa
kinacholindwa hapo ni Taaisisi ya Urais maana yake hata samia akitoka kwenye hicho kiti hatalindwa tena hvyo
mmeniudhi sana kwa vi mada uchwara vya kijinga,
tena huo ni msafara na ulinzi mdogo kwa Rais Tiss ongezeni zaidi kwa kadri itakavyofaa
muda si mrefu mtaona wale wadada wanafungua twitter space kujadili msafara wa Rais
mlitaka mlindwe nyie na familia zenu?
asietaka akanywe sumu ya panya
Haya njoo nikuajiri!Na wewe ajiri mashoga wakulinde
Yeye akaminywa zake na ziraili mazima na kuwaacha aliokuwa akiwaminya wanaendelea kufinyanga ugaliWapumbavu,jemedari aliminya korodani zao kisawawa
Sikujua Mbowe aliajiri mashoga! Afadhali umetuambia.Na wewe ajiri mashoga wakulinde
Vijana wa CDNM huko twitani wamerukwa na wazimu, mmekosa ajenda mnaanza kujadili kuhusu ulinzi wa Rais,
mlitaka Rais alindwe na nani tutaacha lini ujinga wa kupinga kila kitu,
wapumbavu wameanza kutaka Mama samia afanye kila anachofanya Rais wa zambia Chilema,
yani Chilema msafara wake ukiwa na gari 10 na wa mama samia iwe hvyo hvyo
huu ni upumbavu
mwenyekiti wa Chama kaokota wapi watu wenye akili ndogo namna hii?
Jeshi na Tiss wanawajibu wa kuhakikisha Taasisi ya uRais inalindwa kwa kadri watakavyoona inafaa
kinacholindwa hapo ni Taaisisi ya Urais maana yake hata samia akitoka kwenye hicho kiti hatalindwa tena hvyo
mmeniudhi sana kwa vi mada uchwara vya kijinga,
tena huo ni msafara na ulinzi mdogo kwa Rais Tiss ongezeni zaidi kwa kadri itakavyofaa
muda si mrefu mtaona wale wadada wanafungua twitter space kujadili msafara wa Rais
mlitaka mlindwe nyie na familia zenu?
asietaka akanywe sumu ya panya
Mama awashukuru Mabeberu, kesha chanja Johnson@Johnson. Mwendazake alitegemea Ulinzi kama huo, lakini virus vya Covid 19 viliupenya ulinzi wake na kumbatiza jina la Mwendazake mpaka leo hii. Ma- CCM yaache Kufuru kwa Mungu, tusije mpoteza Mama na Rais wetu.Hata mimi nimeshangaa, nilijua mambo ya chopa yameondoka na mwendazake kumbe bado yapo, na huo msafara wa magari yote hayo wa kazi gani kwenye taifa masikini kama letu?
Naona kila awamu inarudia makosa yaleyale, ngumu sana kupiga hatua za maendeleo, na yule kichaa wa twitter ana support huo msafara wa Samia amesahau juzi tu alikuwa akiupinga msafara wa mwendazake.
Mataga pori unahaha kama kuku aliyekatwa kichwa 🤣Mazuzu mmeanza kuumbuka
Muwe mnakubali ukweli mfanikiwe ,kodi gani mnazojadili wakati michango ya cdm tu inawashinda kujadili?Sisi Watanzania ndio tunaojadili namna kodi zetu zinavyotumika
Na wewe si ni mmojawao au ulishaacha kazi ?Sikujua Mbowe aliajiri mashoga! Afadhali umetuambia.
Sio KILA mtza ni cdm,msihalalishe vyanzo vipya vya upigaji kwa kisingizio cha ulinzi.Muwe mnakubali ukweli mfanikiwe ,kodi gani mnazojadili wakati michango ya cdm tu inawashinda kujadili?
watakuwa wamem'block'Umeshindwa nn kuwajibu huko ukaleta mada hapa.