Vijana wa CHADEMA kujadili ulinzi wa Rais ni upuuzi na kukosa kazi za kufanya

102 vehicles? All SUV !? plus 3 hedkoptaz!

Matumizi mabaya ya fedha za walipa Jodi
1. Taifa maskini
2. Watanzania maskini waliowengi
3. Elimu duni
4. Afya duni

Makodi mengi

Halafu hayo ndio matumizi kuunguza kodi Badala ya maendeleo
 
Vijana wa CDNM huko twitani wamerukwa na wazimu, mmekosa ajenda mnaanza kujadili kuhusu ulinzi wa Rais,

mlitaka Rais alindwe na nani tutaacha lini ujinga wa kupinga kila kitu,

wapumbavu wameanza kutaka Mama samia afanye kila anachofanya Rais wa zambia Chilema,

yani Chilema msafara wake ukiwa na gari 10 na wa mama samia iwe hvyo hvyo

huu ni upumbavu

mwenyekiti wa Chama kaokota wapi watu wenye akili ndogo namna hii?

Jeshi na Tiss wanawajibu wa kuhakikisha Taasisi ya uRais inalindwa kwa kadri watakavyoona inafaa

kinacholindwa hapo ni Taaisisi ya Urais maana yake hata samia akitoka kwenye hicho kiti hatalindwa tena hvyo

mmeniudhi sana kwa vi mada uchwara vya kijinga,


tena huo ni msafara na ulinzi mdogo kwa Rais Tiss ongezeni zaidi kwa kadri itakavyofaa

muda si mrefu mtaona wale wadada wanafungua twitter space kujadili msafara wa Rais

mlitaka mlindwe nyie na familia zenu?

asietaka akanywe sumu ya panya


Wewe hapa umejadili kuhusu tozo za miamala ya simu? au ni ile nyani haoni kundule?
 
Bavicha bawacha na wengine I yaani chagadema yote akili zo mbovu wanahiji vipi ulinzi wa raia namba Moja? Kama qanaona hamna umuhimu wa ulinzi kwa viongozi kilichomfanya gaidi wao mbowe achukue wanajeahi waliofukuzwa kazi kuja kumlinda walikuwa na maana Gani yaani wanataka magaidi wa chadema wamzuru kirahisi namna hiyo?
Vijana wa CDNM huko twitani wamerukwa na wazimu, mmekosa ajenda mnaanza kujadili kuhusu ulinzi wa Rais,

mlitaka Rais alindwe na nani tutaacha lini ujinga wa kupinga kila kitu,

wapumbavu wameanza kutaka Mama samia afanye kila anachofanya Rais wa zambia Chilema,

yani Chilema msafara wake ukiwa na gari 10 na wa mama samia iwe hvyo hvyo

huu ni upumbavu

mwenyekiti wa Chama kaokota wapi watu wenye akili ndogo namna hii?

Jeshi na Tiss wanawajibu wa kuhakikisha Taasisi ya uRais inalindwa kwa kadri watakavyoona inafaa

kinacholindwa hapo ni Taaisisi ya Urais maana yake hata samia akitoka kwenye hicho kiti hatalindwa tena hvyo

mmeniudhi sana kwa vi mada uchwara vya kijinga,


tena huo ni msafara na ulinzi mdogo kwa Rais Tiss ongezeni zaidi kwa kadri itakavyofaa

muda si mrefu mtaona wale wadada wanafungua twitter space kujadili msafara wa Rais

mlitaka mlindwe nyie na familia zenu?

asietaka akanywe sumu ya panya

 
Hata mimi nimeshangaa, nilijua mambo ya chopa yameondoka na mwendazake kumbe bado yapo, na huo msafara wa magari yote hayo wa kazi gani kwenye taifa masikini kama letu?

Naona kila awamu inarudia makosa yaleyale, ngumu sana kupiga hatua za maendeleo, na yule kichaa wa twitter ana support huo msafara wa Samia amesahau juzi tu alikuwa akiupinga msafara wa mwendazake.
Mama awashukuru Mabeberu, kesha chanja Johnson@Johnson. Mwendazake alitegemea Ulinzi kama huo, lakini virus vya Covid 19 viliupenya ulinzi wake na kumbatiza jina la Mwendazake mpaka leo hii. Ma- CCM yaache Kufuru kwa Mungu, tusije mpoteza Mama na Rais wetu.
 
Sababu tunalipa kodi,kodi zetu zinapochezewa inauma,pia wabongo kwa upigaji tunawajua wanaweza ongeza ulinzi Ili kuhalalisha upigaji,huyo mama hata atembee alone kariakoo nani anashida nae.
Kama huna makuu maadui watoke wapi sasa.
 
Jakaya Kikwete na Mzee Ruksa wanatembea na gari moja ya ulinzi,gari moja tu. Mwalimu Nyerere alipokuwa rais alikuwa ana ferry kati ya Ikulu na Msasani na gari moja tu ya ulinzi.
Lakini hayo magari unayoyaona hapo siyo yote yanahusika na ulinzi.
Lakini,ndiyo,watu wakimwona rais analindwa kama rais wa Afghanistan, au rais wa Amerika,watakosa imani na rais.
Halafu gharama zake.
 
Hii hapa picha: Boris Johnson na Volodymyr Zelenskyy walipotembea maeneo ya Kyiv wakiwa chini ya ulinzi mkali wa vikosi vya usalama. Kwa sababu ya VITA inayoendelea.
Screenshot_20220410-022358.png
Screenshot_20220410-022500.png


Hizi picha hapa chini zinaonesha ulinzi mkali wa Rais Samia! Sasa unajiuliza, je tupo vitani na nani??
images (86).jpeg
images (85).jpeg
images (84).jpeg
images (83).jpeg
images (82).jpeg
images (81).jpeg
 
Back
Top Bottom