Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,651
- 26,101
Hakuna kitu kama hicho, kiondoe akilini mwako mapema.Uhuru wa kumwondoa mkoloni mweusi ccm bado haujapatikana
Nalog off
Nimeshalog off.
Hakuna kitu kama hicho, kiondoe akilini mwako mapema.Uhuru wa kumwondoa mkoloni mweusi ccm bado haujapatikana
Nalog off
Acha fikra potofu.Uhuru wa kutokuwapo kwa magonjwa mtambuka kwa wote kwani ni moja ya maadui wa maendeleo ya Mtanzania.
Kibaraka gani?Kwakua umekubali kuwa kibaraka
Kwa hiyo?Uhuru wa CCM ulipatikana
Kwakuwa kijani wanafikra nyoofu sioAcha fikra potofu.
Ndio.Kwakuwa kijani wanafikra nyoofu sio
CCM imeishiwa mbinu na kwa sasa inaelekea kukata pumzi. Siku zote wenye akili wanaishangaa kabisa ujinga huu wanaouendeleza,CHADEMA ARUSHA YA LAZIMISHA VIJANA KUSHIRIKI MAANDAMANO, VIJANA WAGOMA WATOA MSIMAMO MKALI KUHUSU SUALA LA MBOWE
Mkoani Arusha.
Moja ya mikakati mikubwa inayoendelea kufanywa na CHADEMA nchini ni pamoja na kuendelea kuratibu zoezi kubwa la maandamano kwenda mahakamani kwa ajili ya kuishinikiza mahakama kumuachia huru mwenyekiti wa chama hicho anayekabiliwa na kesi mbaya ya Ugaidi nchini yenye mikakati ovu dhidi ya viongozi wa nchi na raslimali za umma kwa mjibu wa mkuu wa jeshi la polisi nchini kamanda Saimon Sirro ambaye alisikika akizungumza katika mahojiano ya televisheni hivi juzi..
Wewe mleta mada upo Arusha au umehadithiwa na mumeo.?
Habari za CHADEMA zitangazwe na TBC!!!Nimeona hapa TBC kuwa hawaungi mkono madai ya Katiba wala maandamano kwenda mahakamani kifupi wako kivingine na chama chao.
Walitumiwa nauli waende dar wakagoma.
Haya mtifuano huo ndani ya cdm
Hahahaha haya MkuuHakuna kitu kama hicho, kiondoe akilini mwako mapema.
Nimeshalog off.