Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,702
- 45,022
Hiyo kauli ilikuwepo toka ya enzi za Field Marshal, Kiongozi wa Malaika, Chuma, Jiwe, Shujaa Mwendazake lakini Chadema mpka leo wapo tuuNakiona kifo Cha chadema kileee
Hiyo kauli ilikuwepo toka ya enzi za Field Marshal, Kiongozi wa Malaika, Chuma, Jiwe, Shujaa Mwendazake lakini Chadema mpka leo wapo tuuNakiona kifo Cha chadema kileee
Kwakua umekubali kuwa kibarakaEndelea kujipotosha, sina shida na hilo kabisaa.
Lakini ni kweli kwamba vijana hawajaitikia wito wa kuandamana.Ccm endeleeni kujitekenya na kujilazimisha kucheka wenyewe watanzania sio wajinga
Mkuu ni kweli makamanda hawajaingia barabarani leo.Vijana wa Chadema na Kadi za Karatasi? jamaa wako kidijitali aisee, njooni kivingine
Uhuru wa kumwondoa mkoloni mweusi ccm bado haujapatikanaUhuru ulishapatikana, sasa unapigania uhuru gani tena kama sio ugaidi tu?
Nimeshalog off.
Siyo arusha pekee leo hakukuwa na maandamano kabisa nchi nzima.Ukisema wale mamluki wa kijani wanaojivika ngozi ya kondoo utasomeka.
NDUGU CHADEMA ni mpango wa Mungu.Nakiona kifo Cha chadema kileee
Ataanza babu yako Chadema ipo, atafuata baba yako Chadema ipo, mwishowe utamalizika wewe Chadema itakuwepo, huu wimbo wako waliimba wengi sana kabla hujazaliwa leo wote hawapo Chadema bado ipo.Nakiona kifo Cha chadema kileee
Zakwako pale geti la kijani,hata humu unarukaruka tu.Hivi hata Mbeya wamegoma?
Bujibuji nae kumbe mbwembwe ni hapa jf tu
Mbowe atawashinda mabingwa wa njama za kubumba na kubambikizia kesi waTz.Kati ya waliojitokeza leo kuandamana hakuna kiongozi wa kata, shina wala taifa aliejitokeza kuandamana. Nafikiri hata wale waliokamatwa sasa hivi wanajilaumu baada ya kugundua kuwa viongozi wakuu wa chama hicho kina Mnyika, Mwalimu na wengineo hawakufika maandamanoni. Hili liwe somo kwa nyumbu wengine kabla ya kuandamana wahakikishe viongozi wa chama nao wanashiriki.
Umeongea sahihi sanaMbowe atawashinda mabingwa wa njama za kubumba na kubambikizia kesi waTz.
Kelele nyingine ni za kujifariji tu, lakini leo ulimwengu umejionea jinsi Tanzania ya sasa inavyojitahidi sana kufanana kwa udhalimu/ukatili na SA ya utawala wa makaburu.
Uchawi wenu hautoweza kukwamisha, harakati za kupigania Katiba mpya iliyo bora zitaendelea ili kuwakomboa wote pamoja NANYI.
Tena wajitafakari na wabadili mwelekeo wao mbaya waliouchagua.Mbowe atawashinda mabingwa wa njama za kubumba na kubambikizia kesi waTz.
Kelele nyingine ni za kujifariji tu, lakini leo ulimwengu umejionea jinsi Tanzania ya sasa inavyojitahidi sana kufanana kwa udhalimu/ukatili na SA ya utawala wa makaburu.
Uchawi wenu hautoweza kukwamisha, harakati za kupigania Katiba mpya iliyo bora zitaendelea ili kuwakomboa wote pamoja NANYI.
Nakiona kifo Cha chadema kileee
Uhuru wa kutokuwapo kwa magonjwa mtambuka kwa wote kwani ni moja ya maadui wa maendeleo ya Mtanzania.Uhuru ulishapatikana, sasa unapigania uhuru gani tena kama sio ugaidi tu?
Nimeshalog off.
Ila Pendooo wewe ni Mrembo sana.Nakiona kifo Cha chadema kileee