Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Kwa fikra zako hizo inaonyesha ubongo wako umejaa kinyesiMnatafuta kick matangazo mbandike nyie halafu msingizie CCM kutafuta kick media!
Kwa fikra zako hizo inaonyesha ubongo wako umejaa kinyesiMnatafuta kick matangazo mbandike nyie halafu msingizie CCM kutafuta kick media!
Mbona hiyo picha ya kwanza huyo jamaa anabandika mchana kweupe?Kama wanaume kweli wangebandika mchana kweupe kama vichwa vyao na nyama watu wangevichemsha tukala supu.
Waambieni kama wanaume kweli wafike mchana.
Il wazee wa Nungwi wamesema hao waliobandika hizo picha wametoa siku saba wakaziondoe vinginevyo la kufanya wasije wakaombwa msamaha.
Zote mkuu NEC na ZEC ni mtu na binamu yake.Nazani unamaanisha ZEC.
Seif enzi zake zanzibar zilishapitaPicha tu haziwezi kuwa Rais wa Zanzibar...!!
Wazibandue na kuendelea na kazi zao bila kuumiza kichwa na akili juu yq mtalii huyo...
Huu ni mwaka wa Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Rais wa Zanzibar..!!
Hmmmm mbandike wenyewe halafu mjitie ohhhh ZEC ikemee kutafuta kick siasa za Kitoto hizoZEC kemeeni hili kama kweli mpo huru
Kwa hiyo ndio Mwinyi mwenye mvuto wa kupandikizwa, ataweza kupata mvuto?.Mnatafuta kick matangazo mbandike nyie halafu msingizie CCM kutafuta kick media!
Viashiria vya pumzi kukatika viko dhahiriIringa pia CCM wanafanya uhuni huu huu halafu tume inapiga mikwara kwa Chadema na ACTwazalendo tu.
Yap mkuu, kumbuka hata Zenji NEC ipo ngazi ya urais na wabungeNazani unamaanisha ZEC.
Seif muda wake umepita. Zanzibar sasa hivi ina kizazi cha 70s baada ya uhuru. Hawa hawamwelewi kabisa MaalimSasa kama hiyo picha ya huyo babu inatisha we unafikiri watafanyaje. Juzi nilikua na rafiki yangu mmoja wa ACT akawa ananiambia ndugu yangu we acha tu, kijana mzima kuwa na shobo na wazee haileti maana hivi ninavyokwambia nyumbani kwangu nimebandika picha ya Mgombea wa CCM huyu wa kwetu kila nikibandika mtoto wangu wa miaka mitano anaibandua anasema inamtisha.
Hivi Maalim angekuwa kua huko CCM mungeshamuwekea sumuSeif muda wake umepita. Zanzibar sasa hivi ina kizazi cha 70s baada ya uhuru. Hawa hawamwelewi kabisa Maalim
Na ndio maana vijana wote wameamua kumsapoti kijana mwenzao balaa wamewaachia wale wanaondelea kumuona Maalim kama nabii wakati mwenyewe anajijua ni myayushaji.Seif muda wake umepita. Zanzibar sasa hivi ina kizazi cha 70s baada ya uhuru. Hawa hawamwelewi kabisa Maalim