Hii kali sasa ni vema Lowassa ajitokeze hadharani kutamka anayaua makundi yote aliyokuwa anayahudumia bila hivyo huku mtaani vijana wanajipanga kuimba nyimbo za kumsifu Lowassa wakati Magufuli atakapo kuwa anazunguka Mikoani.
Kama hao vijana waliimba tuna imani na Lowassa .Tuna imani na Lowassa mbele ya Mwenyekiti wao tena rais wataogopa nini kuimba kwa mtu ambaye si Mwenyekiti wao wala rais wao.
Kama hao vijana waliimba tuna imani na Lowassa .Tuna imani na Lowassa mbele ya Mwenyekiti wao tena rais wataogopa nini kuimba kwa mtu ambaye si Mwenyekiti wao wala rais wao.