Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Nimeona Nnauye Jr amelala, sasa nimeamua nifikirie kama magamba kwa uamuzi wa kuvalisha askari uniform za ccm ili waje kuanzisha vurugu. Kikao kinaendelea nawajuza kila nipatapo nafasi niko nao lakini siwapendi.
Naomba Muimarishe ulinzi kwa mbowe na slaa tayari snitchers wako hapo kiwanjani.
time is over
Naomba Muimarishe ulinzi kwa mbowe na slaa tayari snitchers wako hapo kiwanjani.
time is over