johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,591
- 141,395
Nikiwaangalia vijana wengi wa CCM simuoni wa kumfikia Nape katika hali ya kukijua, kukipenda na kuwa tayari kukifia chama.
Leo Nape yuko pembeni kabisa ya chama akitofautishwa na ukuta mwembamba sana kufika aliko Lowassa.
Wakati fulani iliaminika Nape na Nchimbi ndio UVCCM leo wote ni kama wagemi ndani ya CCM.
Leo nimejisikia kuwapa angalizo tu vijana wa CCM kwamba kuna maisha baada ya siasa so msijisahau sana.
Wanasiasa watapita lakini CCM itaendelea kuwepo.
Maendeleo hayana vyama!
Leo Nape yuko pembeni kabisa ya chama akitofautishwa na ukuta mwembamba sana kufika aliko Lowassa.
Wakati fulani iliaminika Nape na Nchimbi ndio UVCCM leo wote ni kama wagemi ndani ya CCM.
Leo nimejisikia kuwapa angalizo tu vijana wa CCM kwamba kuna maisha baada ya siasa so msijisahau sana.
Wanasiasa watapita lakini CCM itaendelea kuwepo.
Maendeleo hayana vyama!