Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,573
- 18,599
Kuna Tatizo kubwa la Ajira Rasmi kwa wahitimu wa Sekondari na Vyuo, Hivyo biashara ya Boda boda na uchuuzi wa bidhaa ndogo ndogo ndio imekuwa kama mbadala wa Ajira RasmiKwa nini boda boda wamekuwa wengi sana nchini?