Napenda kuwakaribisha katika mada hii ambapo kama itaonekana ina manufaa kwa chama chetu pendwa CHADEMA viongozi wajuu wanaweza kufanyia kazi.
Kwasasa katika siasa za Tanzania chama chetu kimeteka fikra za watu wengi katika kila pembe ya nchi na hii ni fursa yakipekee kwa chama,ni wakati wa chama kufanya mambo makubwa ambayo watanzania hawakutegemea kutokea katika siasa,na mambo hayo sio mengine bali ni yakimaendeleo katika ngome zetu kuu.
Kwanza wanataka mabadiliko na kwa mtazamo wangu wa mbali nimeona CHADEMA ikiwa inategemea kushika dola kwa wakati huu ipo turufu moja ya ushindi wa mwaka 2015 inayobeba sura ya maendeleo thabiti na ya haraka.
Kwanza umoja wa wanachama wetu katika nchi ni alama ya mafanikio katika maendeleo,kwa namna chama kinavyopendwa tunaweza kufanya maendeleo katika kupitia mapenzi hayo.
Tunajua wapo wanachama wenye uwezo mkubwa(high class),uwezo wa kati(middle class) na uwezo wa chini(lower class) na wote wanaweza kuchangia maendeleo kila mmoja kwa nafasi yake,wapo watakao jitolea kwa mali,wengine kwa vipawa na ujuzi,na wengine kwa mawazo.
Sasa lengo la maelezo yote hayo ni kwamba tunataka tuwe tofauti na vyama vingine vyote vya upinzani ambavyo vimewahi kuwa maarufu huko kabla lakini hawakufanya maendeleo yoyote.
KATIKA SEKTA YA AFYA:
CHADEMA mnaweza kujenga hospitali ya kisasa kila mkoa bila kutumia gharama yoyote,kwavile hamkusanyi kodi wananchi wapo tayari kutoa michango hadi ujenzi wa hospitali unakamilika katika mkoa husika.Wapo wenye ujuzi wakujenga watajitolea,wapo wenye hardwares watatoa vifaa vyao kuwezesha ujenzi,wapo wakandalasi watajitolea kwa ujuzi wao.Mtaongezea mengine.
KATIKA SEKTA YA ELIMU:
Uwezo wa chama kujenga shule kila mkoa upo,kama kwenye swala la hospitali na hili pia linawezekana kabisa.
NB:Hii ni turufu yakuelekea 2015,tutaonyesha kwamba umoja wetu unaweza kuleta maendeleo nchini.Naamini wapo wengi watajiunga nasi katika hili kwani dhana ya chama cha vurugu na mengine itapotea.Wananchi watajua kwamba kufanya au kuleta maendeleo si jambo gumu kama tulivyoaminishwa na serikali ya CCM.
Kwasasa katika siasa za Tanzania chama chetu kimeteka fikra za watu wengi katika kila pembe ya nchi na hii ni fursa yakipekee kwa chama,ni wakati wa chama kufanya mambo makubwa ambayo watanzania hawakutegemea kutokea katika siasa,na mambo hayo sio mengine bali ni yakimaendeleo katika ngome zetu kuu.
Kwanza wanataka mabadiliko na kwa mtazamo wangu wa mbali nimeona CHADEMA ikiwa inategemea kushika dola kwa wakati huu ipo turufu moja ya ushindi wa mwaka 2015 inayobeba sura ya maendeleo thabiti na ya haraka.
Kwanza umoja wa wanachama wetu katika nchi ni alama ya mafanikio katika maendeleo,kwa namna chama kinavyopendwa tunaweza kufanya maendeleo katika kupitia mapenzi hayo.
Tunajua wapo wanachama wenye uwezo mkubwa(high class),uwezo wa kati(middle class) na uwezo wa chini(lower class) na wote wanaweza kuchangia maendeleo kila mmoja kwa nafasi yake,wapo watakao jitolea kwa mali,wengine kwa vipawa na ujuzi,na wengine kwa mawazo.
Sasa lengo la maelezo yote hayo ni kwamba tunataka tuwe tofauti na vyama vingine vyote vya upinzani ambavyo vimewahi kuwa maarufu huko kabla lakini hawakufanya maendeleo yoyote.
KATIKA SEKTA YA AFYA:
CHADEMA mnaweza kujenga hospitali ya kisasa kila mkoa bila kutumia gharama yoyote,kwavile hamkusanyi kodi wananchi wapo tayari kutoa michango hadi ujenzi wa hospitali unakamilika katika mkoa husika.Wapo wenye ujuzi wakujenga watajitolea,wapo wenye hardwares watatoa vifaa vyao kuwezesha ujenzi,wapo wakandalasi watajitolea kwa ujuzi wao.Mtaongezea mengine.
KATIKA SEKTA YA ELIMU:
Uwezo wa chama kujenga shule kila mkoa upo,kama kwenye swala la hospitali na hili pia linawezekana kabisa.
NB:Hii ni turufu yakuelekea 2015,tutaonyesha kwamba umoja wetu unaweza kuleta maendeleo nchini.Naamini wapo wengi watajiunga nasi katika hili kwani dhana ya chama cha vurugu na mengine itapotea.Wananchi watajua kwamba kufanya au kuleta maendeleo si jambo gumu kama tulivyoaminishwa na serikali ya CCM.