Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,483
- 7,083
Hoya mkuuu izo bia unakunywa peke yako hata kumtumia mtoa post kwy Inbox yakeToa robo sio nusu mwambie nyengine utamaliza ndo imetoka hio
Au mimba tu kama jamaa hapo juu alivyosema
Ukizishindwa hzo njia last option mwambie binti aongee na kwao we huna uwezo wapunguze Si anataka aolewe ataongea nao tu maana sio wazazi wanao olewa
Ikishindikana piga chini tafuta mwengine acha tabia ya sogeza tuishi huwez kaa na mtoto wa mtu bila ridhaa ya wazazi wake mikosi mingine ni ya kujitakia
Ngoja nikanywe bia we endelea kusubir michango mingine