Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 622
Habari zenu Wana JF
Hivi karibuni nilimsikia Mhe. Rais akisema Vijana wanapashwa kuridhika na nafasi walizo nazo. Binafsi nilihisi analenga watendaji wake (viongozi) kumbe hapana hii kauli inalenga mpaka watu wa kawaida tu.
Ninaye jamaa namfahamu yeye ni mtumishi wa TBS lakini Cha kushangaza anaonekana mara kadhaa katika interview za mashirika mengine yaani mpaka private TBL anatafuta nafasi ya kazi Bado anafanya na part time katika taasis nyingine.
Sasa sijui hajalidhika na nafasi yake au ni tamaa au ndo anatafuta uzoefu (experience) wa interview yaani hasomeki kabisa, maana mtu Kama huyu anaziwazibia wengine nafasi ambao Wana uhitaji wa kweli.
Vipi wew ushawahi kukutana na mtu Kama huyu ? Ye hua ana mauzauza yapi?
Hivi karibuni nilimsikia Mhe. Rais akisema Vijana wanapashwa kuridhika na nafasi walizo nazo. Binafsi nilihisi analenga watendaji wake (viongozi) kumbe hapana hii kauli inalenga mpaka watu wa kawaida tu.
Ninaye jamaa namfahamu yeye ni mtumishi wa TBS lakini Cha kushangaza anaonekana mara kadhaa katika interview za mashirika mengine yaani mpaka private TBL anatafuta nafasi ya kazi Bado anafanya na part time katika taasis nyingine.
Sasa sijui hajalidhika na nafasi yake au ni tamaa au ndo anatafuta uzoefu (experience) wa interview yaani hasomeki kabisa, maana mtu Kama huyu anaziwazibia wengine nafasi ambao Wana uhitaji wa kweli.
Vipi wew ushawahi kukutana na mtu Kama huyu ? Ye hua ana mauzauza yapi?