Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 379
Habari ndugu wananchi,
Kidumu Chama cha Mapimduzi😎
Kuna jambo moja hua nalifikilia sipati jibu.
Kipindi nazaliwa namkuta maza tayari ana mashamba makubwa ana viwanja ana mifugo ana asset kibao.
Mzee alikua kaoa mitara so home kwetu hakua ana deal napo sana.
Mama yetu ni mkulima, yaan akisimama shambani mvua ije itanyesha itakatika haachi jembe sisi wanae hatuna kipaji cha kulima saana
Ijapo katuachia spirit ya kupambana katika mazingira magumu maana kuna kipindi alikua anaponda kokoto tupo naye kwenye kuchunga ng'ombe ingawa tulikua tunamsaidia kipindi cha likizo na weekend.
Kuna siku nilikaa nikatafakali nikajiona sipo serious na maisha nikamuuliza mama, umri gani wewe ulianza kua na mifugo, mashamba na kununua viwanja?
Akanitajia umri ambao nipo nao sasa mimi hapa nikijitathimini kiwanja ninacho kimoja tu, nilichonunua kwa pesa yangu kitu kingine nachomiliki ni tv subwoofer vyombo na kitanda.
Hili jambo liliniumiza sana kichwa but nikipiga mahesabu hapa mtaani wapo vijana walionizidi umri wanakaa kwao hawawazi maisha ya kuijtegemea.
Sana sana wanangoja urithi. Unakuta mtu kaoa kbsa anapishana chumba na baba yake.
Kwanini zama zetu ipo hvyo maana ukifatilia ata kwa familia nyingine utakuta baba yako alivoku na umri wako alikua ameshaanza kujitegemea na alikua na ngombe na mbuz still wewe unachomiliki ni smartphones tu.
Sijui vijana wa zama zetu tunakwama wapi au tunachelewa shule au uvivu umetutawala hiki kitu kwangu mimi hua kinaniuma sana.
Hiv shida gani ipo hapa kwetu vijana.
Asaaanteni
Kidumu Chama cha Mapimduzi😎
Kuna jambo moja hua nalifikilia sipati jibu.
Kipindi nazaliwa namkuta maza tayari ana mashamba makubwa ana viwanja ana mifugo ana asset kibao.
Mzee alikua kaoa mitara so home kwetu hakua ana deal napo sana.
Mama yetu ni mkulima, yaan akisimama shambani mvua ije itanyesha itakatika haachi jembe sisi wanae hatuna kipaji cha kulima saana
Ijapo katuachia spirit ya kupambana katika mazingira magumu maana kuna kipindi alikua anaponda kokoto tupo naye kwenye kuchunga ng'ombe ingawa tulikua tunamsaidia kipindi cha likizo na weekend.
Kuna siku nilikaa nikatafakali nikajiona sipo serious na maisha nikamuuliza mama, umri gani wewe ulianza kua na mifugo, mashamba na kununua viwanja?
Akanitajia umri ambao nipo nao sasa mimi hapa nikijitathimini kiwanja ninacho kimoja tu, nilichonunua kwa pesa yangu kitu kingine nachomiliki ni tv subwoofer vyombo na kitanda.
Hili jambo liliniumiza sana kichwa but nikipiga mahesabu hapa mtaani wapo vijana walionizidi umri wanakaa kwao hawawazi maisha ya kuijtegemea.
Sana sana wanangoja urithi. Unakuta mtu kaoa kbsa anapishana chumba na baba yake.
Kwanini zama zetu ipo hvyo maana ukifatilia ata kwa familia nyingine utakuta baba yako alivoku na umri wako alikua ameshaanza kujitegemea na alikua na ngombe na mbuz still wewe unachomiliki ni smartphones tu.
Sijui vijana wa zama zetu tunakwama wapi au tunachelewa shule au uvivu umetutawala hiki kitu kwangu mimi hua kinaniuma sana.
Hiv shida gani ipo hapa kwetu vijana.
Asaaanteni