Vijana tuna la kujifunza kutoka kwa Lissu

Kuweka pembeni siasa. Na itikadi.
Tukiangalia facts. Lissu ni role model.. kwa vijana wote ambao wana struggle kufikia mafanikio.
Ni jinsi gani alibanwa but anafanikiwa kupenyeza kuelekea juu.
Kama kija ukiweza copy strategy zake.. utajikuta unafika mbali.
Naunga mkono hoja. Na hii sio upande wa mambo ya kisiasa tu bali ni katika mishe zozote zile unazopambana nazo. Jamaa ana inspire sana. Acha kuwa mlegevu kijana, sio kama akina Nape
 
Huyu jamaa ni mwamba. Anafaa Sana kufanya kazi na jiwe
Sidhani, hata Jakaya alimvumilia sana huyu jamaa. Huwezi kuwa unatengua maamuzi ya waziri wako kisha unamuacha katika hiyo nafasi. Jakaya alikuwa muungwana sana, na uungwana wake umetuletea haya.

Tazama jiwe yeye akitengua maamuzi yako fahamu na wewe unaliwa kichwa. Rejea nape, ane kilango,mwigulu and tha list goes on.
 
TUNDU LISSU NI SOMO KWA VIJANA TUNAOJIFUNZA SIASA

Vijana wenzangu mnaodhani kuwa siasa ni nyepesi leo naomba tuweke itikadi zetu pembeni tujamjadili Lissu kwa angle nyingine. Kama wewe ni mfia chama huwezi nielewa hapa, bora uka-scroll down tu.

Huyu mtu anaweza kutumika kama kielelezo cha kujifunzia hususani kwa vijana ambao wana ndoto za kujijenga kisiasa bila kujali chama gani unatokea.

Nini nataka.kusema?, Kama huwa unadhani siasa ni mseleleko kwamba ukishakuwa upande mmoja tu kazi imeisha basi tega makini tujifunze kwa Lissu.

Kivipi?, twende kazi;

1. Lissu ametoka kwenye matibabu yaliyogharimu kukaa nje ya nchi na familia yake takribani miaka 3 na amefikia kwenye kampeni moja kwa moja. Hapa hata watoto na ndugu zake hawakupata muda wa kukaa na mtu wao wampe hata pole.
KUJITOA MUHANGA

2. Tundu Lissu akiwa matibabuni UbelIgiji aliporwa ubunge wake na stahiki zake zote za malipo kwa sababu kuwa Spika wa bunge hajui sehemu alipo. Na alipokwenda kulalamika kwenye vyombo vya sheria, mahakama ilitupilia mbali shauri lake kwa kuona halina mashiko lakini hakuonekana kujali.
UVUMILIVU

3. Tundu Lissu anafanya kampeni kwa bajeti ndogo sana kulinganisha na mpinzani wake mkuu, Rais Magufuli. kuna wakati mwingine watu humchangia kwenye mikutano yake ili kuwezesha utendaji wa kazi yake.
MALENGO

4. Tundu Lissu ndiye mgombea wa kwanza kutoka chama kikuu cha upinzani asiyetangazwa sana iwe kwa Redio, TV wala mabango ya wazi lakini mikutano yake inajaa watu kuliko kawaida.

Alichokifanya ni kutumia fursa ya teknolojia ya habari hasa mitandao ya kijamii kujitangaza wakati mpinzani wake Magufuli mabango ya picha zake yamejaa nchi nzima huku magazeti, TV na Redio zikirusha ziara zake kila siku. Hapa tunaona kwamba tunakoelekea hizi picha na mabango mengine yatapoteza umuhimu kwenye kampeni.
UBUNIFU

5. Tundu Lissu anaonekana kulimudu vyema jukwaa la kampeni kwa kujenga hoja nzito kuhusu maisha ya watu hasa katika kufafanua mambo anwai ya kila eneo analokanyaga kiasi kwamba anafanya usahau kuwa mtu huyu hajawahi kuwa hata Naibu waziri. Je akiwa Rais itakuwaje?
UWEZO

6. Tundu Lissu anafanya kampeni huku akiwa na kipande cha risasi, Operations 21 na vyuma mwilini tena wakati mwingine anacheza na muziki bila kujali nini kinaweza kuikumba afya yake. Mjuba anasonga mbele tu.
MAONO

7. Tundu Lissu amezushiwa kila aina ya propaganda ikiwemo ya kibaraka wa mabeberu na matusu mengi toka kwa wapinzani wake lakini yeye hujibu kwa hoja nzito bila matusi na kuwapoteza kabisa.
UKOMAVU

8. Tundu Lissu tangu mwaka 2001 amekuwa akibambikiwa kesi za makosa ya uchochezi ili kummaliza kisiasa lakini hajawahi kukutwa na hatia.

9. NEC, CCM, POLISI nadhani wamepata somo wakati mwingine wasifanye makosa ya wazi wazi Teknologia inaenda kwa kasi sana

C&P
Kuna watu Wana swali boya tu, mahijabuuuu
 
TUNDU LISSU NI SOMO KWA VIJANA TUNAOJIFUNZA SIASA

Vijana wenzangu mnaodhani kuwa siasa ni nyepesi leo naomba tuweke itikadi zetu pembeni tujamjadili Lissu kwa angle nyingine. Kama wewe ni mfia chama huwezi nielewa hapa, bora uka-scroll down tu.

Huyu mtu anaweza kutumika kama kielelezo cha kujifunzia hususani kwa vijana ambao wana ndoto za kujijenga kisiasa bila kujali chama gani unatokea.

Nini nataka.kusema?, Kama huwa unadhani siasa ni mseleleko kwamba ukishakuwa upande mmoja tu kazi imeisha basi tega makini tujifunze kwa Lissu.

Kivipi?, twende kazi;

1. Lissu ametoka kwenye matibabu yaliyogharimu kukaa nje ya nchi na familia yake takribani miaka 3 na amefikia kwenye kampeni moja kwa moja. Hapa hata watoto na ndugu zake hawakupata muda wa kukaa na mtu wao wampe hata pole.
KUJITOA MUHANGA

2. Tundu Lissu akiwa matibabuni UbelIgiji aliporwa ubunge wake na stahiki zake zote za malipo kwa sababu kuwa Spika wa bunge hajui sehemu alipo. Na alipokwenda kulalamika kwenye vyombo vya sheria, mahakama ilitupilia mbali shauri lake kwa kuona halina mashiko lakini hakuonekana kujali.
UVUMILIVU

3. Tundu Lissu anafanya kampeni kwa bajeti ndogo sana kulinganisha na mpinzani wake mkuu, Rais Magufuli. kuna wakati mwingine watu humchangia kwenye mikutano yake ili kuwezesha utendaji wa kazi yake.
MALENGO

4. Tundu Lissu ndiye mgombea wa kwanza kutoka chama kikuu cha upinzani asiyetangazwa sana iwe kwa Redio, TV wala mabango ya wazi lakini mikutano yake inajaa watu kuliko kawaida.

Alichokifanya ni kutumia fursa ya teknolojia ya habari hasa mitandao ya kijamii kujitangaza wakati mpinzani wake Magufuli mabango ya picha zake yamejaa nchi nzima huku magazeti, TV na Redio zikirusha ziara zake kila siku. Hapa tunaona kwamba tunakoelekea hizi picha na mabango mengine yatapoteza umuhimu kwenye kampeni.
UBUNIFU

5. Tundu Lissu anaonekana kulimudu vyema jukwaa la kampeni kwa kujenga hoja nzito kuhusu maisha ya watu hasa katika kufafanua mambo anwai ya kila eneo analokanyaga kiasi kwamba anafanya usahau kuwa mtu huyu hajawahi kuwa hata Naibu waziri. Je akiwa Rais itakuwaje?
UWEZO

6. Tundu Lissu anafanya kampeni huku akiwa na kipande cha risasi, Operations 21 na vyuma mwilini tena wakati mwingine anacheza na muziki bila kujali nini kinaweza kuikumba afya yake. Mjuba anasonga mbele tu.
MAONO

7. Tundu Lissu amezushiwa kila aina ya propaganda ikiwemo ya kibaraka wa mabeberu na matusu mengi toka kwa wapinzani wake lakini yeye hujibu kwa hoja nzito bila matusi na kuwapoteza kabisa.
UKOMAVU

8. Tundu Lissu tangu mwaka 2001 amekuwa akibambikiwa kesi za makosa ya uchochezi ili kummaliza kisiasa lakini hajawahi kukutwa na hatia.

9. NEC, CCM, POLISI nadhani wamepata somo wakati mwingine wasifanye makosa ya wazi wazi Teknologia inaenda kwa kasi sana

C&P
Spana alizopiga Lissu zikampeleka mtu hadi Mzena
 
112 Reactions
Reply
Back
Top Bottom