Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,718
- 29,233
Nadhani hujasoma post. Ndio maana pale juu alianza kwanza kwa kusisitiza siasa iwekwe pembeni.Ha ha na imagine how utopolo you are. Uko na role model wa kipuuzi kabisa. Hapo kwa Mbowe na Lissu unapata modalities gani? Za kupiga ruzuku? Kula vitu maalum? Michango saccos? Pole Sana.
Mbowe hausiki kwenye post hii.
Tunaongelea mtu kama mtu mwenyewe. Kazi na madudu yake weka pembeni.
Naona ww umejibu siasa.