Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kura inapigwa kwa siri,unakuwa pekee yako wewe na Mungu wako.Wewe ungekua Mwl ungefanya nini mbele ya Muajiri wako Mkurugenzi,DAS,DC,RAS,RC?
Kura inapigwa kwa siri,unakuwa pekee yako wewe na Mungu wako.Wewe ungekua Mwl ungefanya nini mbele ya Muajiri wako Mkurugenzi,DAS,DC,RAS,RC?
Ubarikiwe sana kwa comment mzuri sana.Wao na mapolisi wamezoea shida,ukiwapa ukombozi wanakuona adui
TeteteteHapana mkuu hizo bei zimepanda kwa wapinzani tu hasa cdm.
Msimu uliopita wa 2015 kulikuwa na ajira za chama vijana wengi waliajiriwa kupitia kuwa makada. Kuna watu wanachama wengi waliajiriwa kupitia mfumo wa vyama. Nashuku kijana wangu aliajiriwa wizara ya nishati pale Dodoma mwaka 2019.Vijana wengi wa CCM tulisahau kuwa ili uonekane unafanya kazi lazima tupambane na upinzani mpaka sasa hatuoni kitu gani kinachonachokifanya.
Msimu uliopita wa 2015 kulikuwa na ajira za chama vijana wengi waliajiriwa kupitia kuwa makada. Kuna watu wanachama wengi waliajiriwa kupitia mfumo wa vyama. Nashuku kijana wangu aliajiriwa wizara ya nishati pale Dodoma mwaka 2019.
Ajira 5000 za waalimu zimeyeyukia hewani vijana wamesahaulika hawakumbukwi tena na imepelekea vijana wengi wengi kuwa na hasira kwa serikali yao.
Mhe Magufuli fanya jambo kwa vijana hata inafahamika hautagombea tena ili angalau vijana uwape faraja na ustahimilivu wa maisha. Vijana wananyanyasika mtaaani au kwa kuwa hawana wa kuwasemea. Hebu tujatibu kuangali mambo machache yaliokuwepo kipindi cha nyuma wakati upinzani ukiwepo.
1. Kipindi upinzani ukiwepo nchi nzima police walionekana wanafanya kazi kwasababu walikuwa wanapambana na upinzani kuliko wahalifu wa hii nchi.
2. Wakuu wa mikoa wengi wao walionekana wanafanya kazi kwasababu upinzani ilikuwepo na upinzani ulifanya wasikae chini kila siku kazi yao ilikuwa kuwakwamisha wabunge wa upinzani wale wabunge wa upinzani walikuwa wakipeleka maendeleo china na sio Tanzania.
3. Wakuu wa wilaya kazi yao ilikuwa kupambana na wakuu wa wapinzani ili kumlizisha bwana mkubwa wakawa wanasahau kufanya majukumu yao na kwanini wako pale na wanachokifanya pale ofisini na kila siku ilikuwa ilikuwa kupambana na wabunge au madiwani wa upinzani vurugu tupu utadhani sio Watanzania.
4. Vijana wa UVCCM kazi ilikuwa vitisho kwa vijana au kwa wabunge ikiwemo kuwatishia kuwaua au kuwadhuru wapinzani utadhani wapinzani ni Waganda.
Kwasasa hivi mnamtisha nani?
Mlikuwa mnasema wapinzani tunawachelewesha, hebu tuonyesheni hiyo miradi ambayo mmefanya mpaka sasa?
Lumumba penyewe hali ngumu hakukaliki imebaki vijana ni kupigana mizinga tuuu
Kaka mshana hivi hamuwezi mkaunda kamati yenu kikosi kazi mkatuondelea hili balaaaLumumba penyewe hali ngumu hakukaliki imebaki vijana ni kupigana mizinga tuuu
Hili bila shaka lina ukweli. Wengi kwa sasa wanapatikana hata humu jukwaani kwa kuvizia!! Yaani mwenye walau pumzi kidogo ni Mzee Mgaya johnthebaptist !Lumumba penyewe hali ngumu hakukaliki imebaki vijana ni kupigana mizinga tuuu
Hata apewe miaka 100 hawezi ongeza wafanyakazi watachezea uhakiki Hadi mwisho.Kwa uchumi gani aliokuza KILA sekta imekufa chali thus bize kubuni tozo mpya za kodi kwa vyanzo vilevile.A failure is a looser, uchumi sio jeshi.Hili bila shaka lina ukweli. Wengi kwa sasa wanapatikana hata humu jukwaani kwa kuvizia!! Yaani mwenye walau pumzi kidogo ni Mzee Mgaya johnthebaptist !
The rest huenda hata hela ya bundle tu hawana! Walidhani kuwadhulumu wapinzani, kutawaletea ahueni! Wamesahau hata wafanyakazi walifanyiwa hivyo hivyo!
"Msubiri uhakiki wa watumishi hewa na wafanyakazi wenye vyeti upite, halafu mtaboreshewa mishahara yenu" Baada ya huo uhakiki uliojaa usumbufu mwingi, kilichofuatia ni kuongeza makato ya Bodi kwa 15% kutoka 8% ya awali!
Na ni mwaka wa sita huu sasa. Hakuna cha nyongeza ya mshahara, wala kupanda daraja!😟 Naamini huu uongo atakua ameutumia pia huko Lumumba. Mwisho wa siku, Uvccm wanalia tu na kusaga meno!! Hata ile buku 7 haipo tena! Kaazi kweli kweli.
Vijana wengi wa CCM tulisahau kuwa ili uonekane unafanya kazi lazima tupambane na upinzani mpaka sasa hatuoni kitu gani kinachonachokifanya.
Msimu uliopita wa 2015 kulikuwa na ajira za chama vijana wengi waliajiriwa kupitia kuwa makada. Kuna watu wanachama wengi waliajiriwa kupitia mfumo wa vyama. Nashuku kijana wangu aliajiriwa wizara ya nishati pale Dodoma mwaka 2019.
Ajira 5000 za waalimu zimeyeyukia hewani vijana wamesahaulika hawakumbukwi tena na imepelekea vijana wengi wengi kuwa na hasira kwa serikali yao.
Mhe Magufuli fanya jambo kwa vijana hata inafahamika hautagombea tena ili angalau vijana uwape faraja na ustahimilivu wa maisha. Vijana wananyanyasika mtaaani au kwa kuwa hawana wa kuwasemea. Hebu tujatibu kuangali mambo machache yaliokuwepo kipindi cha nyuma wakati upinzani ukiwepo.
1. Kipindi upinzani ukiwepo nchi nzima police walionekana wanafanya kazi kwasababu walikuwa wanapambana na upinzani kuliko wahalifu wa hii nchi.
2. Wakuu wa mikoa wengi wao walionekana wanafanya kazi kwasababu upinzani ilikuwepo na upinzani ulifanya wasikae chini kila siku kazi yao ilikuwa kuwakwamisha wabunge wa upinzani wale wabunge wa upinzani walikuwa wakipeleka maendeleo china na sio Tanzania.
3. Wakuu wa wilaya kazi yao ilikuwa kupambana na wakuu wa wapinzani ili kumlizisha bwana mkubwa wakawa wanasahau kufanya majukumu yao na kwanini wako pale na wanachokifanya pale ofisini na kila siku ilikuwa ilikuwa kupambana na wabunge au madiwani wa upinzani vurugu tupu utadhani sio Watanzania.
4. Vijana wa UVCCM kazi ilikuwa vitisho kwa vijana au kwa wabunge ikiwemo kuwatishia kuwaua au kuwadhuru wapinzani utadhani wapinzani ni Waganda.
Kwasasa hivi mnamtisha nani?
Mlikuwa mnasema wapinzani tunawachelewesha, hebu tuonyesheni hiyo miradi ambayo mmefanya mpaka sasa?
Lumumba penyewe hali ngumu hakukaliki imebaki vijana ni kupigana mizinga tuuu