mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,835
Imetokea nimempenda Hajji Manara kwa mbwebwe zake na ushawishi wake katika Tasinia ya mpili kubali au kataa. Mimi binafsi sio mshabiki wa timu za bongo kwasababu zangu binafsi, ila mke wangu anapenda sana simba.
Hajji Manara ni mtu ambae ametumia kipaji chake cha usemaji ku jipatia masirahi 9m @ kwa mwezi sio haba, anakipaji cha peke hapa Tanzania cha kujua ku-promote soccer, ni mjinga tu ndo atakae mbeza, waandishi wa habari wana mfuata hata nyumbani kwake kupata taarifa mpya zakuwandika.
Katika maisha ushabiki sio kitu bila faida mfia timu na huna masilahi yoyote na timu isipokua sifa paka kupigana na mashibiki wenzako, ni upumbavu, vijani badilisheni ushabiki wenu na ushawishi wenu wa timu zenu uwe na faida kwa kununua hisa au kwa ajirawa wazungu wanatuzidi katika hili wengi wana hisa katika timu zao wanazo shabikia sio kua fanatic fan for nothing.
Big up Hajji Manara I like your style.
Hajji Manara ni mtu ambae ametumia kipaji chake cha usemaji ku jipatia masirahi 9m @ kwa mwezi sio haba, anakipaji cha peke hapa Tanzania cha kujua ku-promote soccer, ni mjinga tu ndo atakae mbeza, waandishi wa habari wana mfuata hata nyumbani kwake kupata taarifa mpya zakuwandika.
Katika maisha ushabiki sio kitu bila faida mfia timu na huna masilahi yoyote na timu isipokua sifa paka kupigana na mashibiki wenzako, ni upumbavu, vijani badilisheni ushabiki wenu na ushawishi wenu wa timu zenu uwe na faida kwa kununua hisa au kwa ajirawa wazungu wanatuzidi katika hili wengi wana hisa katika timu zao wanazo shabikia sio kua fanatic fan for nothing.
Big up Hajji Manara I like your style.