NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,298
- 2,969
- Thread starter
- #81
mkuu stars hakuna kitu hatuli MTU huna nguvu,mfupi afu mweupe unaenda kushindana naminjemba myeusi tiiVijana tubet
Kama leo nimemuua stars nimepta 2M
mkuu stars hakuna kitu hatuli MTU huna nguvu,mfupi afu mweupe unaenda kushindana naminjemba myeusi tiiVijana tubet
Kama leo nimemuua stars nimepta 2M
Kunanini huko mkuu tusogee au mikate yakikinga ni fursa mkuukarbun xn ukingani makete
Ansanteh sana mama mwenye jina sawa Na mamayangu mzaziserikali iinvest more kwenye Kilimo,Information Technology na Biashara..jobs will be created.
Mkuu sikujua kama ubongo wako unaweza kua namadini yakutosha kiasi hiki ansanteh sana Kwa hichi ulichokitoa
Nikweli mkuu hichi pia inabidi tukitekeleze Kwa ufanisi sio kusubiri zari la mentaliVijana ni wavivu kuchambua na kudaka fursa ukimpa fursa anadhani ni utapeli pasipo kuichambua, pia waondoe ile kasumba ya kufanikiwa tit potati on the spot, zaidi wakosentrate katika kufanya iyo fursa ilete manufaa
vijana wanavimba sawa Na wazee sehemu za starehe kweli hapa hua tunachemshaTatizo la vijana wasomi ni kuingia katika mtego wa hadhi inayotokana na kiwango cha elimu waliyofikia, inapotokea ajira rasmi zinazoendana na hadhi yao ya kielimu hazipo au zinachukua muda mrefu kupatikana wanajikuta katika wakati mgumu, ingawaje wapo wachache ambao wanaukwepa huu mtego wa hadhi. Kingine ni vijana wengi kupenda kuiga maisha wasio na uwezo nayo, akipata pesa kidogo huyo kaenda kununua iphone ya 1.5m au kaenda club anaagiza heinkein na nyama choma. Kingine ni vijana wengi kutokuwa waaminifu, unaweza kuta kuna watu wana pesa zao lakini inawawia vigumu kuwekeza katika project ambazo watahitaji kuwa na vijana waaminifu wa kusimamia, kijana anakuwa na ndoto ya ku make ndani ya muda mfupi matokeo yake anaua mradi.
Sawa mkuu nikaona nisikusumbue sana pengine pirika pirika nyingi Na hii weekend ila sio mbaya mkuu ntashukuru Kwa hiloOoh sawa Sawa my apology kwa hilo siku 2 hizi nilikamatika sana kesho utaniona kule.. I mean kuanzia usiku huu
Aamen asante sanaSawa mkuu nikaona nisikusumbue sana pengine pirika pirika nyingi Na hii weekend ila sio mbaya mkuu ntashukuru Kwa hilo
siunajua watu waliopauka hua wababe ila waoga sana Mara nyingi wanatokea sehem wanakolima viazi vyakisukumaAcha mzaha wako
siunajua watu waliopauka hua wababe ila waoga sana Mara nyingi wanatokea sehem wanakolima viazi vyakisukuma
mkuu diatta anasura kama nyani ila shoot alilolipiga wachezaji wetu wote wakalikwepaWe Diatta nini
mkuu diatta anasura kama nyani ila shoot alilolipiga wachezaji wetu wote wakalikwepa
Mpira wa stars nikama angaisha bwege unamsakizia mwenzako hata kama amezungukwa Na maadui wanne kikubwa lawama zikamfie mwenyewe huko haijalishi ila wewe uko salamadah usnkumbushe bwana
Vijana tubet
Kama leo nimemuua stars nimepta 2M
Nlweka hela nyingi mkuuWe hujui kubeti! Kwa odd zile upate 2M Kubeti pia sio kila mtu anaweza akabeti
Mkuu wazo zuri hili nashukuru sana pengine nisingelijua pasipo wewe Kwa bei hio hapo juu ninaweza nikapata kwasehem gani naomba msaada wako mkuuMuachane na mawazo ya kujiona wasomi fanyeni kazi za kawaida na biashara zenye mtaji kidogo mfn.ballo la viatu linauzwa 12000 lenye PC 50 za viatu km sikosei kwa bei ya 10000 viatu 12 vimerudisha mtaji faida utajiongeza kwa vilivyo baki sehemu ya biashara mahali popote wanapita watu wengi unatandika chini ngoma inasonga.
Haya ansanteh pia Kwa mawazo yako umetoa wazo kulingana Na akiri Na mwisho wako wakufikiri ko sidhani kama umekosea uko sahihiNakugonga
Mkuu imetosha kabisa ila sio mbaya ukiongeza binadamu halidhikiSawa dozi imekutosha