Vijana tufanye nini

Jamii yetu imezungukwa na watu wengi Ambao hawana elimu ya utambuzi .. elimu ya utambuzi ni category yenye uwanja mpana sana --- waweza kukuta kijana ana fanya kazi ngumu na anapata pesa nyingi kwa siku let say 50k --lakini ana kwenda kutumia pesa zote hizo kwa muda wa siku 1'''

Halafu baada ya muda fulani kibarua kuisha ana kaa na kuanza kulala Mika kuwa maisha ni magumu --......

Unaweza kuona kwa kiasi kikubwa jinsi ambavyo kijana wa namna asivyo jitambua
Ni kweli mkuu kunakipindi wakati wakusaka michongo nilikua nafanya kazi yasaidia Fundi nikiwa kama mbeba zege nakoroga nakubeba tofari lakini kesho Fundi uliekua unamsaidia Na ndie bosi wako lakini anaamka hana hata mia Na kukuomba pesa ya chai mihogo umkopeshe hapa ndipo nilipoona nikweli ni heli yule anaetunza kidogo kuliko anaepata kikubwa nakukitafuna chote
 
Ni kweli mkuu kunakipindi wakati wakusaka michongo nilikua nafanya kazi yasaidia Fundi nikiwa kama mbeba zege nakoroga nakubeba tofari lakini kesho Fundi uliekua unamsaidia Na ndie bosi wako lakini anaamka hana hata mia Na kukuomba pesa ya chai mihogo umkopeshe hapa ndipo nilipoona nikweli ni heli yule anaetunza kidogo kuliko anaepata kikubwa nakukitafuna chote
So -- nadhani waweza kuona kuwa tuna jamii yenye watu wengi wanaopenda kufanikiwa kwa kutamka midomoni lakini akili zao bado hazipo tayari kuchukua hatua ya kuweza kuyafikia mafanikio hayo --- ...
 
Hogera halaf nasikia inakula bando mno,Sasa najiuliza vijana hawana kaz yyt home nako mambo si mambo hayo mabando wanayatoa wap......sijui
Yaani inakula bando afu nafaidi followers nilifikisha followers 4500 badae nilijiona fara sana wakutupwa nikapiga hesabu ya muda nilotumia Na pesa yangu nilitamani kulia mkuu
 
Mkuu kwa me navyoona cha kwanza vijana tusiwe wepesi was kukataa tamaa kwa kutaka mafanikio ya haraka yani mfano MTU kalima mazao mvua zimegoma anaacha kilimo anaenda kufanya kitu kingine baada ya kukomaa na kilimo icho icho kwa sababu kuwa unaacha acha vitu unapoteza focus na pia tuwekeze kwenye mtandaoni kuna fursa nyingi tu sema huku ukiingia target isiwe hapa bongo inatakiwa ubase kimataifa zaidi in hayo tu kwa ufupi
Mkuu shukrani Kwa kujiunga nasi hapa naomba mchango wako wowote ule naamini unacho chakuzungumza Na huu niwakati wake mkuu
 
Mkuu kwa me navyoona cha kwanza vijana tusiwe wepesi was kukataa tamaa kwa kutaka mafanikio ya haraka yani mfano MTU kalima mazao mvua zimegoma anaacha kilimo anaenda kufanya kitu kingine baada ya kukomaa na kilimo icho icho kwa sababu kuwa unaacha acha vitu unapoteza focus na pia tuwekeze kwenye mtandaoni kuna fursa nyingi tu sema huku ukiingia target isiwe hapa bongo inatakiwa ubase kimataifa zaidi in hayo tu kwa ufupi
Nikweli mkuu siku zote nilazima uchague kitu kimoja naukimalize hata kama utapitia changamoto kiasi gani mfano Michael Jordan alianza kucheza akiwa Na miaka 11 mpaka anazeeka Na hicho kitu kapitia changamoto nyingi
 
Kweli mkuu wenzetu unakuta kakomaa na kitu kimoja adi anafanikiwa ndo vingine vinaanza kuja mfano marck kakomaa na Facebook adi katoboa kisha saivi kaingia kwenye crypto currency kaanzia coin yake
Nikweli mkuu siku zote nilazima uchague kitu kimoja naukimalize hata kama utapitia changamoto kiasi gani mfano Michael Jordan alianza kucheza akiwa Na miaka 11 mpaka anazeeka Na hicho kitu kapitia changamoto nyingi
 
Kweli mkuu wenzetu unakuta kakomaa na kitu kimoja adi anafanikiwa ndo vingine vinaanza kuja mfano marck kakomaa na Facebook adi katoboa kisha saivi kaingia kwenye crypto currency kaanzia coin yake
Emu ngoja nimfatilie Na huyu jamaa kwanjee wanaonekana wanagusa kidogo ila uhalisia wake wanachimba deep hatari sana hawa jamaa
 
Ongezeko la vijana wasio na vision kuhusu mambo yakufanya linanisukuma kuandika uzi huu!!!!!

Unatushauri nini,wakati kama huu ili tuendane na dunia yasasa,

Kundi kubwa lavijana wakike limefanya sehemu zao za uzazi kua sehemu ya kipato(kiwanda cha bure )

Pia kwavijana wakiume hali si nzuri wengine wanakua mashoga Kwa ugumu wamaisha tunakosea wapi

Wimbi hili lavijana wanaomaliza elimu mbalimbali linaendana na kasi yakutafuta vyanzo vya mapato ili kulipa gharama na muda tuliotumia kusoma

Sisi kama watoto wenu humu,vijana wenu tunacheka pamoja kila siku huku wengine wakilala na njaa wakifanikisha manunuzi ya vocha tunawasaidia vipi ili nao wawe sehemu ya furaha zetu,

Tuungane hapa Kwa ushauri na mawazo mtambuka nini kifanyike jeh? Ni sisi vijana ndio wazembe ,ulivyokua na umri gani ulikua na stress zaidi? Ulifanya nini kujikwamua
Au pengine hatuwasalimii ndo maana mnatubania mpaka kutupa ushauri tufanye nini

Mshana Jr
Sky Eclat
Blaki Womani
Asprin
kizeze
BILGERT
Shadeeya
Khantwe
Mwanakijiji
@dalatitz
Akwota
Sci-Fi
Ndachuwa
Charlie chaplin
joanah
Mwifwa
baba swalehe
rahma suleiman
Darmian
Mzee mnafki
Jola kuu
Mkandara
joker
Inna
paskal Mayalla
MUSHEKY
kawoli
Silicon Valley

Sema kwa namba basi kwa mfano labda mlimaliza 10 na 4 wakiume wamekuwa mapunga au 4 wadanga kimboka ili tukichangia tunaenda straight katika point.
Manake Vijana wa siku hizi mnajiita wasomi lakini uandishi wenu unatilia Shaka elimu ghali mlizopata.
 
Sema kwa namba basi kwa mfano labda mlimaliza 10 na 4 wakiume wamekuwa mapunga au 4 wadanga kimboka ili tukichangia tunaenda straight katika point.
Manake Vijana wa siku hizi mnajiita wasomi lakini uandishi wenu unatilia Shaka elimu ghali mlizopata.
Ntarekebisha hilo mkuu taratibu watu wanajifunza ko nadhani kadri muda unavyosogea tunazidi kuwekana sawa
 
Naam kick out poverty ----

Nilikuwa na pitia kwanza comment ili ni pate kujifunza vitu vipya toka kwenye maoni ya wachangiaji mbali mbali --- kwa namna moja ama nyingine naweza kusema kuwa nimeridhika na michango yao ''' ijapokuwa binafsi Nina tamani kuna huu uzi ukiwa na comments nyingi (wachangiaji wengi )
Ambao kwa kupitia michango yao - itakuwa ni fursa kubwa kwa watu wengi kuweza kujifunza kwa kina

MCHANGO WANGU WA MAWAZO NI HUU ----
Maendeleo yetu kama vijana Yana paswa kuanzia katika msingi wa chini kabisa ' kitu ambacho katika family zetu nyingi hakipo '' vijana wengi wa kitanzania tume lelewa katika jamii ambayo Ina wa tafasiri matajiri kuwa ni watu ambao hawato Uona Ufalme wa Mungu. .tuna amini zaidi katika umaskini kuliko utajiri -- kitu ambacho kime changia kuwa fanya vijana wengi kutokuwa na motisha ya kuwa na mafanikio ya kiuchumi katika maisha yao --- kiasi kwamba inapotokea mtu akafanikiwa basi jamii huwa inamuona kuwa ana bahati au ni mtoa kafara .Yaani tuna jamii ya watu ambao hawaamini kabisa kwamba kwa kupitia Uwezo wao mkubwa wa kufikiri "Juhudi. Ubunifu .Uaminifu na nidhamu Mtu anaweza kufanikiwa hata kama itakuwa amezaliwa katika umaskini wa namna gani ''........

Mbaya zaidi Tuna jamii ambayo ina watu wengi sana Ambao sio waaminifu --'Tukia achana na nguzo zote zinazo mfanya mtu aweze kufanikiwa Ambazo ni knowledge. Uthubu. Juhudi. Nidhamu. Kupenda kufanikiwa etc ..hayo yote haya wezi kuleta mafanikio endapo nguzo hizo zitakuwa zinakosa Muhimili mkuu ambao ni uaminifu ''' (Uaminifu ndio nguzo ambayo ina watafuna hata viongozi wetu na kwa sababu ya kukosekana kwake hatimae hujikuta wana sign mikataba mibovu ambayo huwa inaitafuna nchi na kuwafaidisha wahi sani '' ) --huwa Wana weka kando viapo vya uaminifu walivyo kula ambavyo vina wataka kulilinda hili taifa -- pia jamii yetu inazungukwa na watu wengi wavivu --kuanzia uvivu wa kufikiri mpaka uvivu wa Hali ya uwajibikaji --- hizi Tabia ndio moja ya sababu zinazo changia hata kuwa rudisha nyuma watu wenye mikakati imara ya kutaka kufanikiwa kwa sababu huwa Wana jikuta wame zungukwa na watu wengi wenye mitazamo Hasi -- kiasi kwamba inawauwia vigumu wao kuweza kushirikiana nao kwa sababu Endapo wanapo amua kujitoa na kushirikiana nao huwa wanaishia kuanguka - kwakuwa huwa Wana Shirikiana na watu wenye mitazamo duni tofauti na ile mitazamo chanya waliyo nayo '''

Nadhani Kuna haja kubwa sana kwa serikali na wadau wake kuhakikisha kwamba wanatoa elimu ya utambuzi ya kutosha kwa vijana wa hili taifa bila ya kusahau kutoa elimu kuji tegemea yakutosha pia kwa vijana '' hii itasaidia kuipatia mwanga wa maarifa jamii yetu na hatimae tutakuwa na kizazi kinacho penda kuwajibika haswaa katika masuala ya kujikuza kiuchumi na hatimae tutakuwa na taifa la watu wengi wapenda maendeleo
Well said kiongozi, kuna mambo hapo umeongea by facts, nimependa sana.

Muhimu haswa nimeona ni nidhamu, hili sio kwa vijana tu, hata sisi 35+ tunakosa nidhamu hasa ya maisha, nidhamu ya pesa na nidhamu ya muda.

Uaminifu, watanzania regardless ya umri tumekosa uaminifu, vijana wengi wakipata sehemu ya kujishikiza hata kupata ujira mdogo, wanachowazs ni mafanikio ya haraka haraka, tunataka kuwa matajiri kwa mda mfupi bila kuwekeza muda wa kutosha.

Lakini pia tujitahidi kuwatafutia watoto interest/hobbies wakiwa bado wadogo, nimesoma jamaa anasema tuwafundishe kufanya kazi za mikono, kuwa na bustani, mabanda ya kuku nk, ni muhimu sana. Tuwafundishe kuheshimu pesa na wajue umuhimu wa pesa wakiwa bado wadogo. Mfano, mtume mtoto akanunue LUKU, akalipie bills za DAWASCO ili ajifunze kuwa life is give and take.

Let's grab opportunities bila kujali elimu tulizonazo. BTW, mkuu nimepita pale safari nikakuona.
 
Asante kwa mchango wako maridhawa. -- Kuna baadhi ya watu walio staarabika huwa Wana desturi ya kuwa nunulia watoto vibubu ''-kisha wana wafundisha ustaarabu wakuwa wana save pesa ambazo wana pewa kutumia matumizi yao mbali mbali '' let say mtoto akipewa 200 ana ambiwa atumie tsh 150 ..tsh 50 akahifadhi kwenye kibubu..Baada ya miezi 6 wazi humsimamia mtoto avunje kibubu- kisha zile pesa akazitumie kwenda kununua baadhi ya mahitaji yake ---Hii humsaidia sana mtoto kuweza kuwa na nidhamu ya pesa haswaa katika Suala la kuweka AKIBA. ...

Hahaa mkuu mimi nina muda kidogo sija fika pale safari - Kuna ndugu yangu yupo pale ana simamia kale ka biashara

Well said kiongozi, kuna mambo hapo umeongea by facts, nimependa sana.

Muhimu haswa nimeona ni nidhamu, hili sio kwa vijana tu, hata sisi 35+ tunakosa nidhamu hasa ya maisha, nidhamu ya pesa na nidhamu ya muda.

Uaminifu, watanzania regardless ya umri tumekosa uaminifu, vijana wengi wakipata sehemu ya kujishikiza hata kupata ujira mdogo, wanachowazs ni mafanikio ya haraka haraka, tunataka kuwa matajiri kwa mda mfupi bila kuwekeza muda wa kutosha.

Lakini pia tujitahidi kuwatafutia watoto interest/hobbies wakiwa bado wadogo, nimesoma jamaa anasema tuwafundishe kufanya kazi za mikono, kuwa na bustani, mabanda ya kuku nk, ni muhimu sana. Tuwafundishe kuheshimu pesa na wajue umuhimu wa pesa wakiwa bado wadogo. Mfano, mtume mtoto akanunue LUKU, akalipie bills za DAWASCO ili ajifunze kuwa life is give and take.

Let's grab opportunities bila kujali elimu tulizonazo. BTW, mkuu nimepita pale safari nikakuona.
 
Well said kiongozi, kuna mambo hapo umeongea by facts, nimependa sana.

Muhimu haswa nimeona ni nidhamu, hili sio kwa vijana tu, hata sisi 35+ tunakosa nidhamu hasa ya maisha, nidhamu ya pesa na nidhamu ya muda.

Uaminifu, watanzania regardless ya umri tumekosa uaminifu, vijana wengi wakipata sehemu ya kujishikiza hata kupata ujira mdogo, wanachowazs ni mafanikio ya haraka haraka, tunataka kuwa matajiri kwa mda mfupi bila kuwekeza muda wa kutosha.

Lakini pia tujitahidi kuwatafutia watoto interest/hobbies wakiwa bado wadogo, nimesoma jamaa anasema tuwafundishe kufanya kazi za mikono, kuwa na bustani, mabanda ya kuku nk, ni muhimu sana. Tuwafundishe kuheshimu pesa na wajue umuhimu wa pesa wakiwa bado wadogo. Mfano, mtume mtoto akanunue LUKU, akalipie bills za DAWASCO ili ajifunze kuwa life is give and take.

Let's grab opportunities bila kujali elimu tulizonazo. BTW, mkuu nimepita pale safari nikakuona.
Duuuh mkuu umenipa funzo kubwa sana kweli ni kheri kupewa mawazo kuliko pesa shukrani sana mkuu
 
Sema kwa namba basi kwa mfano labda mlimaliza 10 na 4 wakiume wamekuwa mapunga au 4 wadanga kimboka ili tukichangia tunaenda straight katika point.
Manake Vijana wa siku hizi mnajiita wasomi lakini uandishi wenu unatilia Shaka elimu ghali mlizopata.
Naomba mchango wako wamawazo mkuu nafikiri unakitu chakushare nasi Fanya hivyo mkuu
 
Kote tutapita Lkn hatutapata ufumbuzi mpaka tutakapokubali kujitathmini ktk mfumo wetu wa elimu na malezi.

Ktk malezi,ni pale tulipoacha kufuata maelekezi ya jamii tukauita ujima na kurukia usasa kwa maana ya mtu kuielekeza jamii kwa kisingizio cha usasa.

Wakati sisi tunakuwa miaka ya 80,hapakuwa na sim lkn radio zilikuwepo.Haikuwa rahisi kufungua radio ya mzee bila ya ruhusa yake.
Akili zetu ilikuwa ni maelekezo ya walimu na wazazi ambao walikuwa na mahusiano mazuri.

Leo hii mitandao imechukua akili za kizazi cha sasa,hasikilizwi mzazi wala mwalimu.Vijana wanaishi maisha yasiyo yao.Wanaiga badala ya kujifunza.

Kuhusu elimu ni mtihani.
Pesa imeondoa maadili na misingi ya utoaji elimu.

Watu wanatafuta kupata alama badala ya Ujuzi.
Walimu wanafanya mitihani badala ya watoto..
Mafunzo yote ni jinsi ya kujibu maswali na si kujenga uthabiti kitaaluma ili mtoto aoneshe uwezo wake ktk ujuzi aliopata kujibu maswali kwa kufikiri kama yeye.

Sisi tulicheza ngoma,kuimba kwaya na kusoma mashairi ktk Sherehe za kumaliza elimu ya msingi Leo tunawafundisha watoto wetu kucheza miziki ya wasanii na tunasema wanakipaji tunawatafutia mapromota ili wapate pesa Lkn tunataka wafaulu masomo ya Sekondari
 
Nadhani unasema wakati muafaka sana mkuu hasa huu muingiliano wa technology usioendana Na matumizi sahihi wa technology katika Tanzania yetu shukrani sana mkuu Kwa hichi kidg ulichoshare nasisi usisite wakati mwingine kufanya hichi ulichokifanya
Kote tutapita Lkn hatutapata ufumbuzi mpaka tutakapokubali kujitathmini ktk mfumo wetu wa elimu na malezi.

Ktk malezi,ni pale tulipoacha kufuata maelekezi ya jamii tukauita ujima na kurukia usasa kwa maana ya mtu kuielekeza jamii kwa kisingizio cha usasa.

Wakati sisi tunakuwa miaka ya 80,hapakuwa na sim lkn radio zilikuwepo.Haikuwa rahisi kufungua radio ya mzee bila ya ruhusa yake.
Akili zetu ilikuwa ni maelekezo ya walimu na wazazi ambao walikuwa na mahusiano mazuri.

Leo hii mitandao imechukua akili za kizazi cha sasa,hasikilizwi mzazi wala mwalimu.Vijana wanaishi maisha yasiyo yao.Wanaiga badala ya kujifunza.

Kuhusu elimu ni mtihani.
Pesa imeondoa maadili na misingi ya utoaji elimu.

Watu wanatafuta kupata alama badala ya Ujuzi.
Walimu wanafanya mitihani badala ya watoto..
Mafunzo yote ni jinsi ya kujibu maswali na si kujenga uthabiti kitaaluma ili mtoto aoneshe uwezo wake ktk ujuzi aliopata kujibu maswali kwa kufikiri kama yeye.

Sisi tulicheza ngoma,kuimba kwaya na kusoma mashairi ktk Sherehe za kumaliza elimu ya msingi Leo tunawafundisha watoto wetu kucheza miziki ya wasanii na tunasema wanakipaji tunawatafutia mapromota ili wapate pesa Lkn tunataka wafaulu masomo ya Sekondari
 
Back
Top Bottom