maslulkat
Senior Member
- Feb 17, 2013
- 107
- 32
Kwa kuwa umeongelea kuhusu kupata signals hapo ndio utaliwa hadi ukauke find knowledge and use it, utafurahi mwenyewe.Forex inakupa matumaini sana lakini ukweli ni kua haiwez kukutoa utaendelea kupoteza hela kisa kuangaika na signals!
Unaweza jiona unaweza kwenye demo acc
Ukiingiza hela ndo utajua!
Kuna namna broker wanafanya kuzikula hela zako