idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,305
Kwa sasa Chato inakuzwa na kukua kwa kasi ya ajabu, tunaona miradi mingi ya ujenzi inaanzishwa huko na kuota kama uyoga.
Kama vijana ni hili tuliangalie kwa jicho la fursa badala ya kukaa na kumlaumu Rais na juhudi zake za kuigeuza Chato kama New York.
Miradi mikubwa iliyoko huko kwa Sasa:
1: Uwanja wa Ndege haujaisha bado unaoendele kujengwa.
2: Hospital kubwa ya Kanda yenye uwezo wa kuhudumia raia zaidi ya milioni 18, kwa maana hii itakuwa Muhimbili ya pili.
3: Kwa ukubwa wa hii Hospitali muda wowote mtasikia ujenzi wa chuo cha Sayansi ya Afya wanafunzi watamwagwa wa kutosha huko.
4: Uwanja wa mpira Chato (Chato Stadium) mradi unaoendelea kujengwa.
5: Chuo Cha Veta Chato, kimeshazinduliwa na Waziri wa China juzi. Wanafunzi wanajazwa hapo muda wowote.
Hiyo ni baadhi ya tu miradi waliyopenda kutuonesha kwa sasa bila shaka kuna miradi midogo midogo mingi inayoendelea ambayo haitangazwi.
Tushauriane kama wa WanaJF na Watanzania kwa ujumla ni fursa gani Mtanzania yeyote anaweza kuipata huko.
Kama vijana ni hili tuliangalie kwa jicho la fursa badala ya kukaa na kumlaumu Rais na juhudi zake za kuigeuza Chato kama New York.
Miradi mikubwa iliyoko huko kwa Sasa:
1: Uwanja wa Ndege haujaisha bado unaoendele kujengwa.
2: Hospital kubwa ya Kanda yenye uwezo wa kuhudumia raia zaidi ya milioni 18, kwa maana hii itakuwa Muhimbili ya pili.
3: Kwa ukubwa wa hii Hospitali muda wowote mtasikia ujenzi wa chuo cha Sayansi ya Afya wanafunzi watamwagwa wa kutosha huko.
4: Uwanja wa mpira Chato (Chato Stadium) mradi unaoendelea kujengwa.
5: Chuo Cha Veta Chato, kimeshazinduliwa na Waziri wa China juzi. Wanafunzi wanajazwa hapo muda wowote.
Hiyo ni baadhi ya tu miradi waliyopenda kutuonesha kwa sasa bila shaka kuna miradi midogo midogo mingi inayoendelea ambayo haitangazwi.
Tushauriane kama wa WanaJF na Watanzania kwa ujumla ni fursa gani Mtanzania yeyote anaweza kuipata huko.