Vijana tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI upo na bado ni hatari

Naomba kuwaasa vijana wenzangu tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI bado upo na ni hatari.

Miezi 4 iliyopita nilifanya ujinga nikalala na mwanamke bila kutumia condom ama bila kumfanyia vipimo vya kiafya kujua hali yake, baada ya ngono tukafanya vipimo na ikagundulika mwenzangu alikua na maambukizi.

Huyo mwanamke nilikua nimefanya nae ngono mara mbili ila kwa time interval ya mwezi mmoja, hii mara ya pili ndio tukafanya vipimo na ikagundulika mwenzangu hakuwa mzima na wakamuanzishia dozi na mimi nikaanza kumeza PEP. Nashukuru baada ya miezi 4 niko salama.

Vijana tuendelee kuchukua tahadhari, Ukimwi ni hatari na unaweza kuzima ndoto zako kwa starehe ya siku ama sekunde chache. Tuendelee kuchukua tahadhari hadi pale chanjo ya Ukimwi itakapopatikana. Nilisikia wakubwa wa Dunia wameazimia kufikia 2030 wawe wametokomeza Ukimwi, ndio unasikia ujio wa chanjo na labda wataleta dawa sio muda mrefu ila for the mean time tuendelee kujilinda.

View attachment 1930729
mods mnamuona huyu
 
Naomba kuwaasa vijana wenzangu tuendelee kuchukua tahadhari, UKIMWI bado upo na ni hatari.

Miezi 4 iliyopita nilifanya ujinga nikalala na mwanamke bila kutumia condom ama bila kumfanyia vipimo vya kiafya kujua hali yake, baada ya ngono tukafanya vipimo na ikagundulika mwenzangu alikua na maambukizi.

Huyo mwanamke nilikua nimefanya nae ngono mara mbili ila kwa time interval ya mwezi mmoja, hii mara ya pili ndio tukafanya vipimo na ikagundulika mwenzangu hakuwa mzima na wakamuanzishia dozi na mimi nikaanza kumeza PEP. Nashukuru baada ya miezi 4 niko salama.

Vijana tuendelee kuchukua tahadhari, Ukimwi ni hatari na unaweza kuzima ndoto zako kwa starehe ya siku ama sekunde chache. Tuendelee kuchukua tahadhari hadi pale chanjo ya Ukimwi itakapopatikana. Nilisikia wakubwa wa Dunia wameazimia kufikia 2030 wawe wametokomeza Ukimwi, ndio unasikia ujio wa chanjo na labda wataleta dawa sio muda mrefu ila for the mean time tuendelee kujilinda.

View attachment 1930729

Ya covid mnaipiga vita, na ndiyo hao hao wameitengeza.
 
Mwaka jana mwezi wa 10 nilichapa mwanamke mmoja hiviwa mtaani, baadae nikaja kushituka nilivyoona analiwa na jamaa yangu mmoja hivi ambaye ameathirika zamani sana (miaka ya 2006).

Nilipofatilia nikaambiwa kuwa hata huyo mwanamke ni muathirika kitambo tu, aiseeeh nilikosa amani kwa zaidi ya wiki moja na baadae nikaamua kuwa sitakwenda kupima mpaka pale nitakapozidiwa kwa ugonjwa wowote ule.

Sasa ni mwezi wa 9, na imepita 11 tangu nifanye nae mapenzi bila kuugua chochote najua sina UKIMWI, ila kuanzia siku hiyo nimekuwa mtu makini sana kwenye maswala ya mapenzi.


UKIMWI UPO NA UNAUA, tena sikuizi nadhani Kati ya watu kumi mmoja anakuwa nao.
Mtu aliathirika 2006 ila mpaka leo yupo na anadunda tu wakati magonjwa yanayotokana na machips mayai na mafuta mafuta makuku ya kisasa makisukari na presha yanaondoa watu ndani ya 10 years ila mwenye UKIMWI anaonekana kama anakufa kesho.
 
Kutoboa miaka mitano ukiwa na UKIMWI sio kizembe kama unavyodhani mkuu, sio rahisi kabisa labda sio VVU😅.

Sitaki kabisa kwenda kupima, na miezi 11 ni mingi sana kutoboa bila kuugua ikiwa tayari una maambukizi, kwa namna ambayo huwa nafanya mapenzi sidhani kama mke wangu angetoboa kama ningekuwa na UKIMWI huu ni mwezi wa kumi tangu bumper mimba na kajifungua tu hivi juzi.

Na assume sina UKIMWI. Over
Fuatilia Kuna watu wanagundua kuwa wana virusi baada ya 20 yrs na wapo tu. Mtu ana 50 years na inaonekana aliishi navyo kwa 20 yrs bila habari, Hivi virusi nadhani ni dhaifu sana kama huna hofu na unaaccess ya chakula bora ila tunavimarket sababu ni biashara nzuri huko kwa wale walioendelea.
 
Nenda kapime mkuu. Virusi vinaweza kukaa mwilini hata miaka 5 bila kuonyesha dalili maana unakuta bado mwili unapambana navyo ila kinga ya mwili ikizidiwa ndio utaanza kuona matokeo yake live. Kapime uwe na uhakika.

Kikubwa ni kuongeza umakini pia. Hakikisha kabla hujamla mtu kavu angalau umpime lakini pia usikamie shoo, tombana kutajiri.
Kutom.bana kitajiri ndo kwa namna gani mkuu
 
Fuatilia Kuna watu wanagundua kuwa wana virusi baada ya 20 yrs na wapo tu. Mtu ana 50 years na inaonekana aliishi navyo kwa 20 yrs bila habari, Hivi virusi nadhani ni dhaifu sana kama huna hofu na unaaccess ya chakula bora ila tunavimarket sababu ni biashara nzuri huko kwa wale walioendelea.
Sure mkuu
 
Lakini ni hatari sana mkuu
Hatari gani endapo unaweza ishi navyo miaka mingi? Ukipata ukiwa 30 years mpaka vibadilike kuwa UKIMWI na kukusumbua unakaribia 70 years na hapa ni kwa mtu wa kawaida anayepata mlo kamili, Kama ww ni tajiri ndo kabisaaa 80 years huko ndo utaanza sumbuliwa na magonjwa labda, ambapo hata asiye na UKIMWI at that age anasumbuliwa tu, Ila ukiishi kwa hofu ndipo unaanza kukongoroka na kufa.
 
Back
Top Bottom