JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,715
Mleta hoja anataka afosi ndoa anataka eti mkikaa miaka miwili kama hakuna ndoa muachane, kwanza mapenzi ni watu wawili kupendana maisha iwe ndoa isiwepo penzi liko palepale. Huyu siyo wa kuolewa anafata ndoa zaidi ya mapenzi. Ataishia kuruka ruka kila baada ya miaka miwili. Wako watu wamekaa miaka 20 wamekuja kuoana baadae.Haya mambo ya mapenzi bhn hayana formula ni kumwachia mungu unaweza achana na huy alikuwekaa miaka miwili ukaenda kwa mwingn nae yale yale haya ya mapenzi yakuacha yajiendeshe tu