Vijana tafuteni pesa, mapenzi hayana umri ukiwa na pesa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Mwanadada Regina Daniels(21) asherehekea mume wake huyo Ned Nwoko(61) kumtumia zawadi ya Xmas dola $50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 115 za Kibongo. Mrembo huyo ambaye ni mwigizaji maarufu Nigeria ametupia screenshot ya hamisho la pesa hizo

Wawili hao walifunga ndoa 2019 na wana mtoto mmoja, hata hivyo, Regina Daniels anatajwa kuwa ni mke wa 6 wa mfannyabishara huyo tajiri mwenye wake wengine na watoto mbalimbali

Kwa upande wako wewe eti sikukuu hii mpenzi wako kakupa zawadi gani?

1640576555617.png
 
Kuwa na pesa inaweza ikawa ni kigezo cha kuwa na wanawake wengi au yeyote lakini isiwe kigezo cha wewe kupendwa kwa dhati (kutoka moyoni) na hao wanawake.
Hapo ndio tunapokuja kubali kuwa "Pesa ina uwezo wa kununua chakula, ila haina uwezo wa kununua hamu ya kula"

Wengi wamelizwa kwa kuamini kuwa kumiliki pesa ndio kupata mpenzi wa kweli (anae kupenda kutoka moyoni) na matokeo yao wakaambulia maumivu tu.
Nyie mapenzi yaacheni tu, hayanaga formula.

Utaweza kununua penzi lake (ngono) ila hautaweza kununua upendo wake wa dhati kutoka moyoni.
Sana sana atachota pesa kwako atampelekea aliempenda.

Mabilionea duniani wasingeachana, ukiwafatilia utakuta kiuhalisia wanateseka tu kwenye mahusiano au ndoa zao na mpunga wanao.
 
Kuwa na pesa inaweza ikawa ni kigezo cha kuwa na wanawake wengi au yeyote lakini isiwe kigezo cha wewe kupendwa kwa dhati (kutoka moyoni) na hao wanawake.
Hapo ndio tunapokuja kubali kuwa "Pesa ina uwezo wa kununua chakula, ila haina uwezo wa kununua hamu ya kula"

Wengi wamelizwa kwa kuamini kuwa kumiliki pesa ndio kupata mpenzi wa kweli (anae kupenda kutoka moyoni) na matokeo yao wakaambulia maumivu tu.
Nyie mapenzi yaacheni tu, hayanaga formula.

Utaweza kununua penzi lake (ngono) ila hautaweza kununua upendo wake wa dhati kutoka moyoni.
Sana sana atachota pesa kwako atampelekea aliempenda.

Mabilionea duniani wasingeachana, ukiwafatilia utakuta kiuhalisia wanateseka tu kwenye mahusiano au ndoa zao na mpunga wanao.
Ndio ile uko na mpenz wako unaumwa hoi yeye anachezea simu yuko instgm ana selfie tuu...utaumia kisaikolojia had uchanganyikiwe...well..nahis hata hao matajiri wanafaham hilo kuwa hawapendwi ila na wao wanatafta utamu tuu
 
Kuwa na pesa inaweza ikawa ni kigezo cha kuwa na wanawake wengi au yeyote lakini isiwe kigezo cha wewe kupendwa kwa dhati (kutoka moyoni) na hao wanawake.
Hapo ndio tunapokuja kubali kuwa "Pesa ina uwezo wa kununua chakula, ila haina uwezo wa kununua hamu ya kula"

Wengi wamelizwa kwa kuamini kuwa kumiliki pesa ndio kupata mpenzi wa kweli (anae kupenda kutoka moyoni) na matokeo yao wakaambulia maumivu tu.
Nyie mapenzi yaacheni tu, hayanaga formula.

Utaweza kununua penzi lake (ngono) ila hautaweza kununua upendo wake wa dhati kutoka moyoni.
Sana sana atachota pesa kwako atampelekea aliempenda.

Mabilionea duniani wasingeachana, ukiwafatilia utakuta kiuhalisia wanateseka tu kwenye mahusiano au ndoa zao na mpunga wanao.
Wanakwambia “I rather cry in a Mercedes Benz than crying on a bus”.
 
Kuwa na pesa inaweza ikawa ni kigezo cha kuwa na wanawake wengi au yeyote lakini isiwe kigezo cha wewe kupendwa kwa dhati (kutoka moyoni) na hao wanawake.
Hapo ndio tunapokuja kubali kuwa "Pesa ina uwezo wa kununua chakula, ila haina uwezo wa kununua hamu ya kula"

Wengi wamelizwa kwa kuamini kuwa kumiliki pesa ndio kupata mpenzi wa kweli (anae kupenda kutoka moyoni) na matokeo yao wakaambulia maumivu tu.
Nyie mapenzi yaacheni tu, hayanaga formula.

Utaweza kununua penzi lake (ngono) ila hautaweza kununua upendo wake wa dhati kutoka moyoni.
Sana sana atachota pesa kwako atampelekea aliempenda.

Mabilionea duniani wasingeachana, ukiwafatilia utakuta kiuhalisia wanateseka tu kwenye mahusiano au ndoa zao na mpunga wanao.
[/QUOTE]
Mapenzi pesa utampataje sasa uyo mwanamk bila pesa
 
Back
Top Bottom