Fanya upside down uje uwamwagie vijana somo kuhusu faida za ndoa. Nadhan watakuelewa.Maisha ya ndoa matamu sana nyie asikwambie mtu,nilishasema siwezi kuishi bila mke tangu nilipoamua kuoa niliyaaga rasmi maisha ya kuishi peke yangu.
Kijana ana hatari sana. Inaonekana hataki kula mema ya nchi. Cha muhimu kwa sasa fnya mpango wa kudondosha location yako ili nimuelekeze kijana aje ASAP.Sijamuona kabisa..
Mambo vip mkuuMnapowakataa single mother mie naumia sana maana nimelelewa na single mother.Tuoeni bana nasi tunahitaji kupendwa tuliteleza tu
Mkuu nitafute tuyajengeAu tutaelewana mtoto wangu ntalea mwenyewe ww tutaendelea kulea ntakaopata na ww