Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
- Thread starter
- #261
Watu wanaotaka kujenga maisha yenye mafanikio wanaoa ma single mom.kweli mkuu masingo maza wengi hata mimi sina hamu nao
Watu wanaotaka kujenga maisha yenye mafanikio wanaoa ma single mom.kweli mkuu masingo maza wengi hata mimi sina hamu nao
Ningekuwa nimeingia kwenye wito wa ndoa, ningeoa single mam. Bahati nzuri au mbaya kwa sasa mimi ni Padre.Wewe umeoa singo maza?
Ukichilia kusema neno FACT.fact
Watu wanaotaka kujenga maisha yenye mafanikio wanaoa ma single mom.
single maza hapana mkuuWatu wanaotaka kujenga maisha yenye mafanikio wanaoa ma single mom.
Unapishana na gari la mshahara boss. Ma single mom wana baraka zao. Trust me.single maza hapana mkuu
nasema hivi baba, kadiri unavyozidi kuchelewa kuoa na kujizungusha hapo mjini, ndivyo mkeo mtarajiwa anavyoendelea kutumika popote alipo kwenye dunia hii. Watu wanamtumia baba. Jitahidi.
Kumbe ananitafuta?
Na mpaka sasa ana likes 35Mmoja kashaanza pale no 2. Wacha waje na povu. Nitalitumia kufua jumamosi
Mawazo mgando hayo alie kwambia ndoa ni jehanam ninani?Walio ndoani wanatamani watoke, kwanini sisi tuingie huko jehanamu
Mbona mnachepuka daily, mbona kesi za wanandoa kuuana na kutiana ulemavu aziishi, mbona kundi linaloongoza kwa maambukizi ya HIV ni wanandoa,Mawazo mgando hayo alie kwambia ndoa ni jehanam ninani?
Anakutafuta mkuu. Bado hamjaonana ?Kumbe ananitafuta?
Na wewe ongeza zifike 1000000Na mpaka sasa ana likes 35
Hayo mawazo wanapeana kwenye vikundi vya mashangingiMawazo mgando hayo alie kwambia ndoa ni jehanam ninani?
Jiulize kwanin idadi ya ndoa zilizo stable ni kubwa kuliko idadi ya ndoa zenye matatizo uliyoyaorodhesha hapo ?Mbona mnachepuka daily, mbona kesi za wanandoa kuuana na kutiana ulemavu aziishi, mbona kundi linaloongoza kwa maambukizi ya HIV ni wanandoa,
Anakutafuta mkuu. Bado hamjaonana ?