haha
Fanya sasa kadi umepewa sio unajichekesha kama umeguswa kwapa
haha
Card siku hizi zinaitisha namba from simu uliyotumia kujisajili......no easy money mzee.Serious haujui?
Ingawa sidhani kama kweli anaweza kufuta ila mfano ni kweli amefuta this means anaweza kuilink hiyo akaunti na manunuzi ya mtandaoni.
As manunuzi yanayohitaji taarifa za credit card au debit card yanahitaji namba ya akaunti ambayo hiyo hapo ipo wazi, yanahitaji expire date ya ATM card ambayo hiyo hapo ipo wazi na yanahitaji CVC.
Hiyo CVC jamaa ndiyo kaificha.
So kama Meneja Wa Makampuni anaweza kuiondoa hiyo rangi means anaweza nunua vitu online kwa kadi ya mleta uzi.
Mkuu kwa 3 months kam ume save mil 21 basi huko kazi zina maslahi mazuri sana tupe maujuzi shufhuli unapataje huko kama una taaluma au huna na ulifanya taratibu zipi hadi kupata vibali na safari kiujumla
Mfano zipi hizo date sites?Rahisi sana ingia date site jifanye mfukua tope basi vibabu kibao vya kiume vitakuja pretend nacho Kisha anakitumia nauli unaenda .
Kufuta hapo ni sawa uweke hapa picha umevaa shati, atokee mtu aseme anaweza kufuta hilo shati lako ubaki huna shati, hio picha tayari imekuwa processed na software kwa kureplace hayo maandishi, huwezi hata Mossad na CIA hawawezi hio miujizaSerious haujui?
Ingawa sidhani kama kweli anaweza kufuta ila mfano ni kweli amefuta this means anaweza kuilink hiyo akaunti na manunuzi ya mtandaoni.
As manunuzi yanayohitaji taarifa za credit card au debit card yanahitaji namba ya akaunti ambayo hiyo hapo ipo wazi, yanahitaji expire date ya ATM card ambayo hiyo hapo ipo wazi na yanahitaji CVC.
Hiyo CVC jamaa ndiyo kaificha.
So kama Meneja Wa Makampuni anaweza kuiondoa hiyo rangi means anaweza nunua vitu online kwa kadi ya mleta uzi.
Huna huo uwezo, hio si vocha mkuu.Unataka nikufunfishe, nataka Mimi nimwonyeshe mleta uzi, ili siku nyingine ajifunze.
sawaHuna huo uwezo, hio si vocha mkuu.
Sina huo uwezo, ila shika hii kanuni anything created by computer programming it can be destroyed by computer programmingHuna huo uwezo, hio si vocha mkuu.
Haujui kukaa na watu vzutri... mimi passport nmepata kwa siku 1 tu chamsingi tembeza mkwanja hakishindikani kituPassport kupata ni ngumu,
Nshafatiliaaa wapi..!
Nauli hadi ughaibuni ntaitoa wapi?
Weka njia ulizotumia kupata pesa ya tickets, visa n.k
#easytalkryt?
Pesa sina, kama ninayo kwa nini nihangaike mzeeHaujui kukaa na watu vzutri... mimi passport nmepata kwa siku 1 tu chamsingi tembeza mkwanja hakishindikani kitu
Dandia meliPassport kupata ni ngumu,
Nshafatiliaaa wapi..!
Nauli hadi ughaibuni ntaitoa wapi?
Weka njia ulizotumia kupata pesa ya tickets, visa n.k
#easytalkryt?
True la sivyo itakuwa kulia Lia ,kulaumu ccm na kulalamika.Ifike kipindi wa Tanzania tuwe kama wezetu wa Naingeria tubebane tupeane michongo...mwisho wasiku tuje tulisaidie Taifa letu...