VIJANA: Nani rais, Waziri Mkuu, na Makamo wa rais wa baadaye?

Tanganyika jeki

JF-Expert Member
Jun 12, 2011
243
87
Ni vizuri taifa wakati fulani lijikite ktk kujadili uongozi na viongozi wa taifa wa baadaye. Kwa miaka ya karibuni kuna vijana wajiandaa kushika uongozi wa juu wa nchi. Wachache wana vigezo stahiki. Baadhi ya vigezo ni uwajibikaji kwa wananchi, bidii, maarifa, uadilifu, na uzalendo. Je, kuna vigezo vya kiongozi bora zaidi ya hivyo? Je, kati ya Zitto, Makamba, J., Itatiro, Mdee, Nape, Mwigulu, Mnyika nani aweza kushika nafasi ipi kati ya urais, m/rais, m/mkuu? Je, kuna wengine zaidi ya hao?
 
Back
Top Bottom