Hell is real
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 204
- 364
Habari wakuu?
Hawa vijana wa kisasa wanajua mambo haya kuwa uzinzi na uasherati ndio uliosababisha sodoma na gomora kuchomwa?
Dhambi ya uzinzi na uasherati imewapeleka watu wengi motoni na wataendelea kwenda, wokovu upo bado hizi anasa na tamaa za kimwili zina mwisho wake lakini maisha yako ya umilele ya baada ya haya ya duniani itategemea maisha yako ulioishi hapa duniani!
Vijana na wazee acheni uzinzi na uasherati!
Hawa vijana wa kisasa wanajua mambo haya kuwa uzinzi na uasherati ndio uliosababisha sodoma na gomora kuchomwa?
Dhambi ya uzinzi na uasherati imewapeleka watu wengi motoni na wataendelea kwenda, wokovu upo bado hizi anasa na tamaa za kimwili zina mwisho wake lakini maisha yako ya umilele ya baada ya haya ya duniani itategemea maisha yako ulioishi hapa duniani!
Vijana na wazee acheni uzinzi na uasherati!