Sidhan kama huu mstari unaendana na ulicho ulizwa. Kwaiyo unamaanisha wazinz na waasherati tu ndio waliopotea?(kutokana na jibu la swali la mhusika lilivyo ulizwa)
Wambie watu waache kutenda dhambi sio kuwambia waache uzinzi na uashereti alaf dhambi nyingine ukazikalia kimya kama vile zenyewe zina offer. 1 Wakorintho 6:9-10
⁹ Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
¹⁰ wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Ndugu zangu kimbieni dhambi mrudi kwa muumba wenu ili kujihakikishia nafasi ya sehem salama siku ile dunia itakapo hukumiwa maana ata dhambi moja inatosha kukupeleka motoni
Ufunuo wa Yohana 21:27
“Na ndani yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.
”
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.