VIJANA na SIASA

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
Sioni vijana (kati ya miaka 20 - 30) wakipata nafasi muhimu katika siasa za nchi zetu za Afrika.
Nafasi nyingi za juu za kisiasa zimekaliwa na wazee walioshiba miaka.
Hii ina maana kwamba vijana hawana uwezo kuongoza siasa za nchi zetu?
Kuna watu hudai kuwa vijana hawana hekima ya kutosha katika kufanya maamuzi makubwa ya kitaifa.
Kwa kuzimulika nchi za Afrika Mashariki TANZANIA, KENYA na UGANDA,sijui ukweli ukoje hapa wakuu.
Natoa hoja.
 
Sioni vijana (kati ya miaka 20 - 30) wakipata nafasi muhimu katika siasa za nchi zetu za Afrika.

Kwa kuzimulika nchi za Afrika Mashariki TANZANIA, KENYA na UGANDA,sijui ukweli ukoje hapa wakuu.
Natoa hoja.
Hivi kumbe A.Mashariki ina nchi hizi..!

Vijana wanafaa kutumikia taifa lao kwa kaajili ya nguvu walizo nazo zaidi, lakini si kwenye ngazi za juu za maaamuzi, MAANA HUKOWATAKOROGA.

Ni ukweli uliositirika kwamba maamuzi mengi ya vijana yana mwelekeo wa jazba na uharaka usio na maana!

Ukiamua kuingiza vijana kwenye ngazi za maamuzi, lazima wawe na back-up ya nguvu kabisa ya wazee.

Ukiona Mbunge kijana sana ujue kwamba amechaguliwa na kundi la vijana wenye hasira ya maisha, ambao wanadhani kijana mwenzao atawaelewa hatraka na kuwasaidia.

My take-
Vijana wawe groomed kushika nafasi za uongozi, na si kutoka masomoni au uraiani direct na kuwa viongozi. Mifano ni kama ya akina JK, ambao wamekulia kwenye Siasa!
 
Vijana wanafaa kutumikia taifa lao kwa kaajili ya nguvu walizo nazo zaidi, lakini si kwenye ngazi za juu za maaamuzi, MAANA HUKOWATAKOROGA.

Ni ukweli uliositirika kwamba maamuzi mengi ya vijana yana mwelekeo wa jazba na uharaka usio na maana!

Ukiamua kuingiza vijana kwenye ngazi za maamuzi, lazima wawe na back-up ya nguvu kabisa ya wazee.

Ukiona Mbunge kijana sana ujue kwamba amechaguliwa na kundi la vijana wenye hasira ya maisha, ambao wanadhani kijana mwenzao atawaelewa hatraka na kuwasaidia.

My take-
Vijana wawe groomed kushika nafasi za uongozi, na si kutoka masomoni au uraiani direct na kuwa viongozi. Mifano ni kama ya akina JK, ambao wamekulia kwenye Siasa!
Mkuu PakaJimmy,
Hoja zako hizi haziwezi kupita bila kuchambuliwa.
Ngoja wadau wazipitie kwanza.
 
Exaud, thanks for bringing this into our attention

To be honest, vijana hawana mpango na siasa in real life, wengi tunaishia kulalamika kuandika

But the same vijana wahamasishaji wazuri kabisa wa michango ya harusi!!. Kijana akimaliza chuo kapata kazi Zain na ka take home kake ka laki sita, CRDB wakimpa mkopo wa gari , utamtaka??

Kuridhika ndio kumetuponza, na katika dunia ya survival of fittest na ubepari achilia mbali ubinafsi, jamaa wanaitumia nafasi hiyo hiyo kutuburuza.

The situation is even worse kwa graduates wetu, they simply hate politics starting form their respective colleges, ukitaka ushahidi uliza uchaguzi kwa mfano wa DARUSO-udsm ni wanafunzi wangapi huwa wanapiga kura?

Miaka ya zamani vijana kwa mfano vyuoni ndio walikuwa mstari wa mbele katika kila kitu ikiwamo kuleta productive challenges kwa serikali

Exaud nadhani inabidi uombe sana mpendwa!
 
Hao wazee unaowaona katika siasa sasa hivi, walianza wakiwa vijana. Nadhani issue hapa si kwamba vijana hawahusishwi, pengine vijana wengi wa umri huo sasa hivi hawajihusishi na siasa.
 
Exaud, thanks for bringing this into our attention

To be honest, vijana hawana mpango na siasa in real life, wengi tunaishia kulalamika kuandika

But the same vijana wahamasishaji wazuri kabisa wa michango ya harusi!!. Kijana akimaliza chuo kapata kazi Zain na ka take home kake ka laki sita, CRDB wakimpa mkopo wa gari , utamtaka??

Kuridhika ndio kumetuponza, na katika dunia ya survival of fittest na ubepari achilia mbali ubinafsi, jamaa wanaitumia nafasi hiyo hiyo kutuburuza.

The situation is even worse kwa graduates wetu, they simply hate politics starting form their respective colleges, ukitaka ushahidi uliza uchaguzi kwa mfano wa DARUSO-udsm ni wanafunzi wangapi huwa wanapiga kura?

Miaka ya zamani vijana kwa mfano vyuoni ndio walikuwa mstari wa mbele katika kila kitu ikiwamo kuleta productive challenges kwa serikali

Exaud nadhani inabidi uombe sana mpendwa!
WABEROYA,
Kwa mawazo haya, nasikitika kwanini vijana wamekuwa na image hii.
Hii ni sawa kweli au kuna mahali vijana wameharibiwa?
 
WABEROYA,
Kwa mawazo haya, nasikitika kwanini vijana wamekuwa na image hii.
Hii ni sawa kweli au kuna mahali vijana wameharibiwa?

Tumeridhika, hakuna shida Tanzania. Ni nchi ya maziwa na asali! na hakuna wa kufumbua macho haya mpaka upate shida halau ndio Tunailaumu serikali.

debate hamna mashuleni, viongozi hawana inspiration kwa wanafunzi, maprofessor pia hawana mvuto, mtu ku-waza leo awe kama Kikwete si ataugua kichaa, Lakini kuwaza uwe leader kama akina Obama ni rahisi kuliko JK!

Dhana ya zidumu heshima za mwenyekiti nazo zimeliangamiza taifa, viongozi hawana uwezo wa kukaa na ku-debate na wanaowaongoza, kila kitu amri, na maamuzi yasiyo husisha jamii. viongozi kwa kifupi ni watawala. Kwa namna hii huwezi ukampata kijana anayetamani ku-challenge na kuwa challenged ila kutawala. na kutawala ni function ya kuwekwa mahali bila hata idhaa ya watu. au kuwadanyanaya watu kutumia umaskini wao wa fedha.

kuna sababu nyingi I guess, ila kubwa ni kuridhika
 
Tumeridhika, hakuna shida Tanzania. Ni nchi ya maziwa na asali! na hakuna wa kufumbua macho haya mpaka upate shida halau ndio Tunailaumu serikali.

debate hamna mashuleni, viongozi hawana inspiration kwa wanafunzi, maprofessor pia hawana mvuto, mtu ku-waza leo awe kama Kikwete si ataugua kichaa, Lakini kuwaza uwe leader kama akina Obama ni rahisi kuliko JK!

Dhana ya zidumu heshima za mwenyekiti nazo zimeliangamiza taifa, viongozi hawana uwezo wa kukaa na ku-debate na wanaowaongoza, kila kitu amri, na maamuzi yasiyo husisha jamii. viongozi kwa kifupi ni watawala. Kwa namna hii huwezi ukampata kijana anayetamani ku-challenge na kuwa challenged ila kutawala. na kutawala ni function ya kuwekwa mahali bila hata idhaa ya watu. au kuwadanyanaya watu kutumia umaskini wao wa fedha.

kuna sababu nyingi I guess, ila kubwa ni kuridhika
Kwa maelezo haya,
naona tatizo katika mfumo wa elimu tulio nao.
 
Mkuu Waborya umenena,

Mtizamo hasi wa jamii pia unachangia vijana wa age kati ya20 hadi 30 kuwa katika siasa.

Pia,vijana wanajua kujiingiza ktk siasa ktk umri mdogo ni hatari na ni kujiharibia maisha

pia,vijana wengi hawajiamini na mara nyingi wanakatishwa tamaa,hili hapa nina experience nalo kabisa

Ila natoa tamko,mimi kiama mim huu mwiko nitauvunja.Bungeni kunahitajika vijana sana...siasa si sehemu ya kwenda wastaafu.
 
Mkuu Waborya umenena,

Mtizamo hasi wa jamii pia unachangia vijana wa age kati ya20 hadi 30 kuwa katika siasa.

Pia,vijana wanajua kujiingiza ktk siasa ktk umri mdogo ni hatari na ni kujiharibia maisha

pia,vijana wengi hawajiamini na mara nyingi wanakatishwa tamaa,hili hapa nina experience nalo kabisa

Ila natoa tamko,mimi kiama mim huu mwiko nitauvunja.Bungeni kunahitajika vijana sana...siasa si sehemu ya kwenda wastaafu.
BEN, WABEROYA,
Sasa nini kifanyike?
Tuwaache wazee washike hatamu tu siyo?
 
Twajifunza kuwa chachu ya mabadilko hutokana na mgandamizoo katika jamii..Mfano ubaguzi afrika kusini, ukoloni afrika, ubaguzi USA, ukabila Kenya, Mauaji ya Halaiki Rwanda...etc.

Tanzania mgandamizoo wetu ni upi na uko kwa kiasi gani katika kundi lipi na lenye mbinu zipi katika UPAMBANAJI DHIDI YAO????

Vijana wa Tanzania twahitaji mgandamizoo sahihi na kwa hakika tutaamkaa na kukumboa taifa letu toka kwa wanyonyaji Viongozii..
 
Sioni vijana (kati ya miaka 20 - 30) wakipata nafasi muhimu katika siasa za nchi zetu za Afrika. Nafasi nyingi za juu za kisiasa zimekaliwa na wazee walioshiba miaka.

Kushika nafasi muhimu kunahitaji uzoefu? Kwenye 'nafasi muhimu' kuna ulaji au utumishi? Hao walioshiba, wameshiba nini?
 
Sioni vijana (kati ya miaka 20 - 30) wakipata nafasi muhimu katika siasa za nchi zetu za Afrika.
Nafasi nyingi za juu za kisiasa zimekaliwa na wazee walioshiba miaka.
Hii ina maana kwamba vijana hawana uwezo kuongoza siasa za nchi zetu?
Kuna watu hudai kuwa vijana hawana hekima ya kutosha katika kufanya maamuzi makubwa ya kitaifa.
Kwa kuzimulika nchi za Afrika Mashariki TANZANIA, KENYA na UGANDA,sijui ukweli ukoje hapa wakuu.
Natoa hoja.

Vijana wenyewe unaowasema wako wapi???? Hawa wanafiki wanaojifanya kuipinga serikali kwa majina ya bandia kumbe hakuna lolote. Kazi kuloloma tu ooh hiki hakiendi hivi ooh hiki vile, hakuna lolote. Njaa tu inasumbua vijana wa kibongo, hata ukipewa nafasi utakuwa kama hao wengine tu. Nyinyi ni WANAFIKI. Nchi hii imeshauzwa. Vijana mlie tu, labda baba yako awe na yeye matawi ya juu, kama walivyo kina Hussein Mwinyi na Ridhiwani Kikwete vinginevyo nyinyi mbuzi tu!

Mtaishia kuandika andika upuuzi tu humu. Hamfiki kokote. Hamko Makini, Mamluki mnatumiwa tu.

Mabingwa wa kulalamika. Kuanzia sasa Nawapuuza!!!!!!!!
 
Vijana wenyewe unaowasema wako wapi???? Hawa wanafiki wanaojifanya kuipinga serikali kwa majina ya bandia kumbe hakuna lolote. Kazi kuloloma tu ooh hiki hakiendi hivi ooh hiki vile, hakuna lolote. Njaa tu inasumbua vijana wa kibongo, hata ukipewa nafasi utakuwa kama hao wengine tu. Nyinyi ni WANAFIKI. Nchi hii imeshauzwa. Vijana mlie tu, labda baba yako awe na yeye matawi ya juu, kama walivyo kina Hussein Mwinyi na Ridhiwani Kikwete vinginevyo nyinyi mbuzi tu!

Mtaishia kuandika andika upuuzi tu humu. Hamfiki kokote. Hamko Makini, Mamluki mnatumiwa tu.

Mabingwa wa kulalamika. Kuanzia sasa Nawapuuza!!!!!!!!


I'm speechless!

My brother thi is only what you can argue?we are still lagging behind by far.

well,Kunahitajika mjadala ya kweli na hasa unaohusu umuhimu wa vijana ktk kuamua mustakabali wa taifa lao.Kuna umuhimu wa kupigia upatu taasisi za vijana kama baraza la taifa la vijana.Hapa tungepata ma-think tankers wengi ambao ni vijana nakutakua na fursa pana kwa taifa kujiwekea hazina ya viongozi maahiri

Pia baraza la vijana litatakiwa liwe financed frm an independent source ili wasiwe prone kwa political parties and some few thugs.

Pia,kuna haja ya kupiga kampeni tena ya kuamsha muamko na kuielimsha jamii ili kugeuza mtazamo wao juu ya vijana ktk kupewa nafasi za uongozi nk.
 
Twajifunza kuwa chachu ya mabadilko hutokana na mgandamizoo katika jamii..Mfano ubaguzi afrika kusini, ukoloni afrika, ubaguzi USA, ukabila Kenya, Mauaji ya Halaiki Rwanda...etc.

Tanzania mgandamizoo wetu ni upi na uko kwa kiasi gani katika kundi lipi na lenye mbinu zipi katika UPAMBANAJI DHIDI YAO????

Vijana wa Tanzania twahitaji mgandamizoo sahihi na kwa hakika tutaamkaa na kukumboa taifa letu toka kwa wanyonyaji Viongozii..

I am happy that you have used the word mgandamizo...these very same people can wake up any time! they need external force. So either we are pushing hard and we want changes today or we dont want nature to take place.

Our education system, culture etc do not give rooms for youth to think independently and to challenge society positively. Sadly, our leaders, opposition parties even religious group they are doing the very same mistake!

There is not problem in Tanzania now, lets them enjoy time will come, when people will say 'arent the same people??'
 
BEN, WABEROYA,
Sasa nini kifanyike?
Tuwaache wazee washike hatamu tu siyo?

Change should start individually, never waste your time to wake up slamber, s/he may slap you!! do you remember Mwanakijiji wrote the article 51 reasons for JK not to proceed, the next day we received 102 why JK should continue! who wrote that, do you think Kingunge? no very same youth!!!

Yes, leaders will be blamed forever, but we need real change individually, that will initiate other people around us!!
 
Nafikiri vijana wapo na wengine wameonyesha walau kwamba wanaweza kufanya siasa kwenye level ya kitaifa, kuna mtu kama zitto, dundu, makamba (jr), etc

Kuna tatizo la mfumo hasa kwenye vyama wa kuzuia vijana kukua kisiasa kwasababu ya siasa za tanzania imekuwa kama ownership fulani hivi (club) hasa kwenye upinzani

Kwa CCM huko vijana wapo kina nchimbi, maige, serukamba etc..

Tatizo kubwa je katika hao vijana kuna anayeleta fikra mbadala na mwenye tabia njema kwa manufaa ya nchi? very few indeed!

Sioni kama vijana wanawaunga mkono vijana wenzao kushika nafasi either kwa makusudi au kwasababu ya kutaka mshiko sijui?
 
Vijana wengi wanakatiswa na tamaa na wazee wenye hiyo siasa kusimika majina ya vijana wao, wakiangalia hawana majina makubwa yaliyozoeleka wanajikatisha tamaa.
 
Back
Top Bottom