Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Sioni vijana (kati ya miaka 20 - 30) wakipata nafasi muhimu katika siasa za nchi zetu za Afrika.
Nafasi nyingi za juu za kisiasa zimekaliwa na wazee walioshiba miaka.
Hii ina maana kwamba vijana hawana uwezo kuongoza siasa za nchi zetu?
Kuna watu hudai kuwa vijana hawana hekima ya kutosha katika kufanya maamuzi makubwa ya kitaifa.
Kwa kuzimulika nchi za Afrika Mashariki TANZANIA, KENYA na UGANDA,sijui ukweli ukoje hapa wakuu.
Natoa hoja.
Nafasi nyingi za juu za kisiasa zimekaliwa na wazee walioshiba miaka.
Hii ina maana kwamba vijana hawana uwezo kuongoza siasa za nchi zetu?
Kuna watu hudai kuwa vijana hawana hekima ya kutosha katika kufanya maamuzi makubwa ya kitaifa.
Kwa kuzimulika nchi za Afrika Mashariki TANZANIA, KENYA na UGANDA,sijui ukweli ukoje hapa wakuu.
Natoa hoja.