Vijana msioe kama bado hamjajipanga, unakuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo, ist, vitz n.k

Mama mkwe wake anakuja toka mkoani. Sasa ananambia anataka akampokee airport.nikamuuliza utatumia usafiri gani. Anasema atatumia gari yake RAV 4 KILL TIME. nmeshtuka sana.

Nmemuuliza kama yupo serious.unawezaje mpakiza mama mkwe gari ya namna hiyo? Hiyo Rav 4 si ni sawa na IST tu engine yake? Nmemwambia aje home achukue BMW sababu mama mkwe wake atakaa Week then akae nayo tu week.

Alichonijibu ndo nmechoka. Eti hana uwezo wa kununua mafuta kwa ajili ya BMW... nmeshangaa sasa jamaa aliwezaje kuoa? Sometime vijana tunaoa tukiwa bado hatupo vizuri.

Nmemwambia nakuwekea full tank mwache mama mkwe aenjoy hapa mjini.nmemjazia mafuta atatumia week nzima. Kuhusu ajali nmemwambia asijali mi gari zangu zote iwe ile Benz, zile Range Rover mbili, Ford Ranger na BMW zote nazikatia Bima kubwa.

Mi nawashauri vijana msioe kama bado hamjajipanga.unaweza kuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo,ist,vitz n.k hii inataka moyo sana.kikawaida ni ngumu.

Huto tugari ni kwa ajili ya kuwapa wadada wa kazi kwendea sokoni n.k but si kutumia mtu mzima. Mi nashauri tusione kabla ya wakati. Tusubiri tu...siyo kuja kuwapa shida watoto wa watu.

"The hungry man is angry" just come and spit your stuff. Sisi tunakula maisha.nyie je mnakula nini?
In Lemutuz voice
 
IMG_20190620_063918.jpeg
 
Wenzio tunabeba wakwe zetu kwenye Anita(baiskeli kubwa) na hakuna shida na bado wanatusifia tunavyojua kuendesha baiskeli hata kupanda milima mirefu!!
Mwanaume mashine tu ikifanya kazi ipasavyo oa,mwanamke hafuati gari anafuata mgegedo maridhawa!
 
ukute haka kavocha ka bando kaomba kwa Dada ake! lawama zoote kwa jiwe kwa nn kahalalisha mmea?
 
Mama mkwe wake anakuja toka mkoani. Sasa ananambia anataka akampokee airport.nikamuuliza utatumia usafiri gani. Anasema atatumia gari yake RAV 4 KILL TIME. nmeshtuka sana.

Nmemuuliza kama yupo serious.unawezaje mpakiza mama mkwe gari ya namna hiyo? Hiyo Rav 4 si ni sawa na IST tu engine yake? Nmemwambia aje home achukue BMW sababu mama mkwe wake atakaa Week then akae nayo tu week.

Alichonijibu ndo nmechoka. Eti hana uwezo wa kununua mafuta kwa ajili ya BMW... nmeshangaa sasa jamaa aliwezaje kuoa? Sometime vijana tunaoa tukiwa bado hatupo vizuri.

Nmemwambia nakuwekea full tank mwache mama mkwe aenjoy hapa mjini.nmemjazia mafuta atatumia week nzima. Kuhusu ajali nmemwambia asijali mi gari zangu zote iwe ile Benz, zile Range Rover mbili, Ford Ranger na BMW zote nazikatia Bima kubwa.

Mi nawashauri vijana msioe kama bado hamjajipanga.unaweza kuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo,ist,vitz n.k hii inataka moyo sana.kikawaida ni ngumu.

Huto tugari ni kwa ajili ya kuwapa wadada wa kazi kwendea sokoni n.k but si kutumia mtu mzima. Mi nashauri tusione kabla ya wakati. Tusubiri tu...siyo kuja kuwapa shida watoto wa watu.

"The hungry man is angry" just come and spit your stuff. Sisi tunakula maisha.nyie je mnakula nini?
Nilivyoanza kusoma sikujua kama ni kiduku lilo ile nime maliza kusoma tu nikahisi huu mwandiko wa kiduku huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Toyota Prado wanasema nazo si mbaya sana. Unaweza nunua ukawa unampakiza mama mkwe....
Thread yako imenichekesha.
Ila umesahau kwamba maisha yana madaraja na haitokaa watu wawe na kipato kinachoweza kulingana. Afadhali hao wa vits kuna wengine wanawapandisha daladala na wengine wanawatembeza juani.
Kuna mwingine safari ndefu yeye anatembelea private jet naye atakushangaa unafunga safari hapa to dodoma na gari eti prado sijui V8 hao ndiyo matajiri wa dunia.
Kila mtu anatamba kwa uwezo wake kila kijana akisema asubiri anunue prado, asilimia 99.99 watakufa bila kuoa.
 
Wenzio mama mkwe tunambeba kwenye ANITA (baiskeli kubwa) na bado mama mkwe anafurahi na binti yake anatoa penzi kiroho safi.
Kidukulilo acha kujipa kiki za kihanithi.
 
Mama mkwe wake anakuja toka mkoani. Sasa ananambia anataka akampokee airport.nikamuuliza utatumia usafiri gani. Anasema atatumia gari yake RAV 4 KILL TIME. nmeshtuka sana.

Nmemuuliza kama yupo serious.unawezaje mpakiza mama mkwe gari ya namna hiyo? Hiyo Rav 4 si ni sawa na IST tu engine yake? Nmemwambia aje home achukue BMW sababu mama mkwe wake atakaa Week then akae nayo tu week.

Alichonijibu ndo nmechoka. Eti hana uwezo wa kununua mafuta kwa ajili ya BMW... nmeshangaa sasa jamaa aliwezaje kuoa? Sometime vijana tunaoa tukiwa bado hatupo vizuri.

Nmemwambia nakuwekea full tank mwache mama mkwe aenjoy hapa mjini.nmemjazia mafuta atatumia week nzima. Kuhusu ajali nmemwambia asijali mi gari zangu zote iwe ile Benz, zile Range Rover mbili, Ford Ranger na BMW zote nazikatia Bima kubwa.

Mi nawashauri vijana msioe kama bado hamjajipanga.unaweza kuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo,ist,vitz n.k hii inataka moyo sana.kikawaida ni ngumu.

Huto tugari ni kwa ajili ya kuwapa wadada wa kazi kwendea sokoni n.k but si kutumia mtu mzima. Mi nashauri tusione kabla ya wakati. Tusubiri tu...siyo kuja kuwapa shida watoto wa watu.

"The hungry man is angry" just come and spit your stuff. Sisi tunakula maisha.nyie je mnakula nini?
Haya ni majigambo ya masharobaro wasio hata na Mia mfukoni
 
Hakika sitaoa nimpe tabu mtoto wa watu.. ntaendelea kuzisaka pesa, nisije kuadhrika kama jamaa yako.

Nikiwa mkubwa nitakua kama wewe!
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom