Vijana msidanganywe, ukiwa na pesa utapata mwanamke umtakaye

Mbona wanaume nao wanapenda wanawake wenye pesa, Cha kwanza unafanya kazi gani, au biashara gani?
 
Mimi pesa ninayo( angalau kidogo) lakin sijawahi pata mpenzi wala kuexprience love Tangu nimezaliwa.

It's very sad indeed.
May be siko lucky nawasichana

Wewe ni Beta Male, that nice guy, Mr Nice... upendo utausikia tu na pesa zako.
 
Nimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk

Nimeona wengi kwenye comment wakishauri watu watafute pesa sana na kwa bidiii ili kuepuka hayo yote, kila ushauri mzuri ni vyema ukautendea kazi na katika mashauri mengi watu wanayoyatoa mimi niliamuaga kuchukua ule ushauri wa "tafuta pesa kwanza" mengine yote yatakuja.

Vijana wenzangu niwahakikishie muda mzuri wa wewe kutafuta mpenzi/mke/mwenza/mchumba ni kipindi hiki ambacho huna mbele wala huna nyuma huelewi mchana utakula nini wala kesho utatokaje kwenda barabarani, hiki ndio kipindi muafaka kwa jambo lako hilo la kutafuta mwenza wa maisha yako.

Usije ukaacha kunisikiliza mimi mwenzako nasema nina uthibitisho wa asilimia 99.9% kama unataka mke wife material mtafute sasa ukiwa na hali hiyo ngumu hivyo hivyo, wakati unaumiza kichwa usiku ukifika ule nini naomba usisahau kuwaza wapi utapata mke mzuri kwahiyo endelea kutafuta kama ni kutongoza tongoza kama ni kuimbisha imbisha usisubiri upate pesa kama unataka kweli "mke wa maisha yako"

Nyie mnaowaambia wenzenu watafute pesa kwanza kisha mke atafata, mnawadanganya nawahakikishia, wenye pesa hupata wanawake wa kuwachezea na kuwaacha hao wapo wengi, lakini kumpata mke kweli kweli ndugu zangu pesa hai hitajiki.

KWANINI NASEMA HIVI ?

Mke kweli hashawishiki na wingi wa pesa zako na tena ukiwa na pesa kumshawishi mwanamke wa kweli kuwa ni kweli unampenda mjomba kibarua chake sio kidogo mama angu mi nawambia.

Real wife material Hashawishiki na magari bro, hashawishiki na hayo mabiashara my brother nawambia hivi kama kweli unataka mke na unataka usije kuchelewa kuoa watu tukakunyooshea kidole, huu muda ambao uko hovyo usisahau msaka wa ubani wako, achana na pesa we msake ataeweza kuishi na wewe ktk hali yako hiyo mbovu kisha msimame pamoja.

Ila ukisimama peke yako, ukawa na pesa ukakamilika kila idara Ishu ya kumpata MKE BORA ni kipengele kitakachokuchukua si chini ya 5yrs, we endelea kuwasikiliza hao wanaokwambia saivi, Tafuta pesa.
Nashukuru Mke Wangu nilimuoa hukunsina mbele wala nyuma yaani tofauti yangu na kitumbua ni mafuta tu bandugu.
Kiukweli hata MIE Mke Wa kumuoa sikuwa namuonyeshea mambo mazuri yaani ni kumfanyia mauzauza ili nione anastahimili vipi.
Mke ni mama yako Wa ukubwani wengine ambacho hawaelewi. Una uhakika mkeo ukifulia ama ukalazwa kitandani huko hospital miaka mitano je bado atakuwa na wewe akikuuguza.
Ukipata ukilema ataendelea bado kuwa na wewe. Assume unaumwa unajisaidia kwa beseni akutawaze akamwage chooni mwaka mzima je ataweza kweli.
Kiukweli nafurahi nimepata mama yangu Wa uzeeni hajaja kwangu kisa Nina kitu Fulani.

Kuna binti mmoja nilimdanganya kuwa nimedisco chuo akanitema nikajua huyu sio Wangu.
Nina imani people rise from zero if not negative to hero or something big.
Pia wapo wanaoa kazi,elimu ,familia tajiri ama kigogo Fulani kulinda status na kuipata connection.
Ila maisha haya hakuna mwalimu wala hakuna kanuni aka principle inayotuongoza kikubwa wewe jifanye haujui.
Ni mtizamo mwingine
 
Nimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk

Nimeona wengi kwenye comment wakishauri watu watafute pesa sana na kwa bidiii ili kuepuka hayo yote, kila ushauri mzuri ni vyema ukautendea kazi na katika mashauri mengi watu wanayoyatoa mimi niliamuaga kuchukua ule ushauri wa "tafuta pesa kwanza" mengine yote yatakuja.

Vijana wenzangu niwahakikishie muda mzuri wa wewe kutafuta mpenzi/mke/mwenza/mchumba ni kipindi hiki ambacho huna mbele wala huna nyuma huelewi mchana utakula nini wala kesho utatokaje kwenda barabarani, hiki ndio kipindi muafaka kwa jambo lako hilo la kutafuta mwenza wa maisha yako.

Usije ukaacha kunisikiliza mimi mwenzako nasema nina uthibitisho wa asilimia 99.9% kama unataka mke wife material mtafute sasa ukiwa na hali hiyo ngumu hivyo hivyo, wakati unaumiza kichwa usiku ukifika ule nini naomba usisahau kuwaza wapi utapata mke mzuri kwahiyo endelea kutafuta kama ni kutongoza tongoza kama ni kuimbisha imbisha usisubiri upate pesa kama unataka kweli "mke wa maisha yako"

Nyie mnaowaambia wenzenu watafute pesa kwanza kisha mke atafata, mnawadanganya nawahakikishia, wenye pesa hupata wanawake wa kuwachezea na kuwaacha hao wapo wengi, lakini kumpata mke kweli kweli ndugu zangu pesa hai hitajiki.

KWANINI NASEMA HIVI ?

Mke kweli hashawishiki na wingi wa pesa zako na tena ukiwa na pesa kumshawishi mwanamke wa kweli kuwa ni kweli unampenda mjomba kibarua chake sio kidogo mama angu mi nawambia.

Real wife material Hashawishiki na magari bro, hashawishiki na hayo mabiashara my brother nawambia hivi kama kweli unataka mke na unataka usije kuchelewa kuoa watu tukakunyooshea kidole, huu muda ambao uko hovyo usisahau msaka wa ubani wako, achana na pesa we msake ataeweza kuishi na wewe ktk hali yako hiyo mbovu kisha msimame pamoja.

Ila ukisimama peke yako, ukawa na pesa ukakamilika kila idara Ishu ya kumpata MKE BORA ni kipengele kitakachokuchukua si chini ya 5yrs, we endelea kuwasikiliza hao wanaokwambia saivi, Tafuta pesa.
Sikubaliane na ww mkuu. Huyo huyo mwanamke bora anayemkubali mtu asiye na uwezo, atakubali pia mwenye uwezo. Sema tu UKIWA HAUNA HELA, hauna options nyingi za kuchagua mchumba au mke. Options zikiwa chache, inakuwa ni rahisi zaidi.

Pia mtu mwenye $$$$ anakuwa ameshalala na warembo haswaa na ndio aliowazoea. Na anataka kuoa mrembo haswaa. Na hao wengi wao ni machachari. Hapo ni kutafuta tu mdogo mdogo HALAFU UNAMNYOOSHA WW. Samaki mkunje angali mbichi. Ali mradi awe legal age. Pia unaweza kuoa mtu mwenye hela zake pia.

Ukiwa na hela, options zinakuwa nyingi sana kuhusiana na mchumba. Sasa kazi ni kwako kucheza game hiyo vizuri.

Vijana pambaneni kutafuta kujijenga kiuchumi. MSIKIMBILIE KUOA
 
Nimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk

Nimeona wengi kwenye comment wakishauri watu watafute pesa sana na kwa bidiii ili kuepuka hayo yote, kila ushauri mzuri ni vyema ukautendea kazi na katika mashauri mengi watu wanayoyatoa mimi niliamuaga kuchukua ule ushauri wa "tafuta pesa kwanza" mengine yote yatakuja.

Vijana wenzangu niwahakikishie muda mzuri wa wewe kutafuta mpenzi/mke/mwenza/mchumba ni kipindi hiki ambacho huna mbele wala huna nyuma huelewi mchana utakula nini wala kesho utatokaje kwenda barabarani, hiki ndio kipindi muafaka kwa jambo lako hilo la kutafuta mwenza wa maisha yako.

Usije ukaacha kunisikiliza mimi mwenzako nasema nina uthibitisho wa asilimia 99.9% kama unataka mke wife material mtafute sasa ukiwa na hali hiyo ngumu hivyo hivyo, wakati unaumiza kichwa usiku ukifika ule nini naomba usisahau kuwaza wapi utapata mke mzuri kwahiyo endelea kutafuta kama ni kutongoza tongoza kama ni kuimbisha imbisha usisubiri upate pesa kama unataka kweli "mke wa maisha yako"

Nyie mnaowaambia wenzenu watafute pesa kwanza kisha mke atafata, mnawadanganya nawahakikishia, wenye pesa hupata wanawake wa kuwachezea na kuwaacha hao wapo wengi, lakini kumpata mke kweli kweli ndugu zangu pesa hai hitajiki.

KWANINI NASEMA HIVI ?

Mke kweli hashawishiki na wingi wa pesa zako na tena ukiwa na pesa kumshawishi mwanamke wa kweli kuwa ni kweli unampenda mjomba kibarua chake sio kidogo mama angu mi nawambia.

Real wife material Hashawishiki na magari bro, hashawishiki na hayo mabiashara my brother nawambia hivi kama kweli unataka mke na unataka usije kuchelewa kuoa watu tukakunyooshea kidole, huu muda ambao uko hovyo usisahau msaka wa ubani wako, achana na pesa we msake ataeweza kuishi na wewe ktk hali yako hiyo mbovu kisha msimame pamoja.

Ila ukisimama peke yako, ukawa na pesa ukakamilika kila idara Ishu ya kumpata MKE BORA ni kipengele kitakachokuchukua si chini ya 5yrs, we endelea kuwasikiliza hao wanaokwambia saivi, Tafuta pesa.
Kweli kabisa mkuu
 
Tatizo mnafanya mambo yawe magumu wakati umri wa kuishi wenyewe ni mdogo, tunawadiscuss sana wanawake hii inawapa vichwa
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom