MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,874
Bora nimeoa pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo mwanaume w dar sio sisi wa uku taboraMbona wanaume nao wanapenda wanawake wenye pesa, Cha kwanza unafanya kazi gani, au biashara gani?
Changanya na zakoMbona mnatuchanganya sasa.
Mimi pesa ninayo( angalau kidogo) lakin sijawahi pata mpenzi wala kuexprience love Tangu nimezaliwa.
It's very sad indeed.
May be siko lucky nawasichana
Una umri gani kwani mkuu? Umevuka 35?Mimi pesa ninayo( angalau kidogo) lakin sijawahi pata mpenzi wala kuexprience love Tangu nimezaliwa.
It's very sad indeed.
May be siko lucky nawasichana
Mbona mnatuchanganya sasa.
Nashukuru Mke Wangu nilimuoa hukunsina mbele wala nyuma yaani tofauti yangu na kitumbua ni mafuta tu bandugu.Nimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk
Nimeona wengi kwenye comment wakishauri watu watafute pesa sana na kwa bidiii ili kuepuka hayo yote, kila ushauri mzuri ni vyema ukautendea kazi na katika mashauri mengi watu wanayoyatoa mimi niliamuaga kuchukua ule ushauri wa "tafuta pesa kwanza" mengine yote yatakuja.
Vijana wenzangu niwahakikishie muda mzuri wa wewe kutafuta mpenzi/mke/mwenza/mchumba ni kipindi hiki ambacho huna mbele wala huna nyuma huelewi mchana utakula nini wala kesho utatokaje kwenda barabarani, hiki ndio kipindi muafaka kwa jambo lako hilo la kutafuta mwenza wa maisha yako.
Usije ukaacha kunisikiliza mimi mwenzako nasema nina uthibitisho wa asilimia 99.9% kama unataka mke wife material mtafute sasa ukiwa na hali hiyo ngumu hivyo hivyo, wakati unaumiza kichwa usiku ukifika ule nini naomba usisahau kuwaza wapi utapata mke mzuri kwahiyo endelea kutafuta kama ni kutongoza tongoza kama ni kuimbisha imbisha usisubiri upate pesa kama unataka kweli "mke wa maisha yako"
Nyie mnaowaambia wenzenu watafute pesa kwanza kisha mke atafata, mnawadanganya nawahakikishia, wenye pesa hupata wanawake wa kuwachezea na kuwaacha hao wapo wengi, lakini kumpata mke kweli kweli ndugu zangu pesa hai hitajiki.
KWANINI NASEMA HIVI ?
Mke kweli hashawishiki na wingi wa pesa zako na tena ukiwa na pesa kumshawishi mwanamke wa kweli kuwa ni kweli unampenda mjomba kibarua chake sio kidogo mama angu mi nawambia.
Real wife material Hashawishiki na magari bro, hashawishiki na hayo mabiashara my brother nawambia hivi kama kweli unataka mke na unataka usije kuchelewa kuoa watu tukakunyooshea kidole, huu muda ambao uko hovyo usisahau msaka wa ubani wako, achana na pesa we msake ataeweza kuishi na wewe ktk hali yako hiyo mbovu kisha msimame pamoja.
Ila ukisimama peke yako, ukawa na pesa ukakamilika kila idara Ishu ya kumpata MKE BORA ni kipengele kitakachokuchukua si chini ya 5yrs, we endelea kuwasikiliza hao wanaokwambia saivi, Tafuta pesa.
Sikubaliane na ww mkuu. Huyo huyo mwanamke bora anayemkubali mtu asiye na uwezo, atakubali pia mwenye uwezo. Sema tu UKIWA HAUNA HELA, hauna options nyingi za kuchagua mchumba au mke. Options zikiwa chache, inakuwa ni rahisi zaidi.Nimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk
Nimeona wengi kwenye comment wakishauri watu watafute pesa sana na kwa bidiii ili kuepuka hayo yote, kila ushauri mzuri ni vyema ukautendea kazi na katika mashauri mengi watu wanayoyatoa mimi niliamuaga kuchukua ule ushauri wa "tafuta pesa kwanza" mengine yote yatakuja.
Vijana wenzangu niwahakikishie muda mzuri wa wewe kutafuta mpenzi/mke/mwenza/mchumba ni kipindi hiki ambacho huna mbele wala huna nyuma huelewi mchana utakula nini wala kesho utatokaje kwenda barabarani, hiki ndio kipindi muafaka kwa jambo lako hilo la kutafuta mwenza wa maisha yako.
Usije ukaacha kunisikiliza mimi mwenzako nasema nina uthibitisho wa asilimia 99.9% kama unataka mke wife material mtafute sasa ukiwa na hali hiyo ngumu hivyo hivyo, wakati unaumiza kichwa usiku ukifika ule nini naomba usisahau kuwaza wapi utapata mke mzuri kwahiyo endelea kutafuta kama ni kutongoza tongoza kama ni kuimbisha imbisha usisubiri upate pesa kama unataka kweli "mke wa maisha yako"
Nyie mnaowaambia wenzenu watafute pesa kwanza kisha mke atafata, mnawadanganya nawahakikishia, wenye pesa hupata wanawake wa kuwachezea na kuwaacha hao wapo wengi, lakini kumpata mke kweli kweli ndugu zangu pesa hai hitajiki.
KWANINI NASEMA HIVI ?
Mke kweli hashawishiki na wingi wa pesa zako na tena ukiwa na pesa kumshawishi mwanamke wa kweli kuwa ni kweli unampenda mjomba kibarua chake sio kidogo mama angu mi nawambia.
Real wife material Hashawishiki na magari bro, hashawishiki na hayo mabiashara my brother nawambia hivi kama kweli unataka mke na unataka usije kuchelewa kuoa watu tukakunyooshea kidole, huu muda ambao uko hovyo usisahau msaka wa ubani wako, achana na pesa we msake ataeweza kuishi na wewe ktk hali yako hiyo mbovu kisha msimame pamoja.
Ila ukisimama peke yako, ukawa na pesa ukakamilika kila idara Ishu ya kumpata MKE BORA ni kipengele kitakachokuchukua si chini ya 5yrs, we endelea kuwasikiliza hao wanaokwambia saivi, Tafuta pesa.
Kweli kabisa mkuuNimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk
Nimeona wengi kwenye comment wakishauri watu watafute pesa sana na kwa bidiii ili kuepuka hayo yote, kila ushauri mzuri ni vyema ukautendea kazi na katika mashauri mengi watu wanayoyatoa mimi niliamuaga kuchukua ule ushauri wa "tafuta pesa kwanza" mengine yote yatakuja.
Vijana wenzangu niwahakikishie muda mzuri wa wewe kutafuta mpenzi/mke/mwenza/mchumba ni kipindi hiki ambacho huna mbele wala huna nyuma huelewi mchana utakula nini wala kesho utatokaje kwenda barabarani, hiki ndio kipindi muafaka kwa jambo lako hilo la kutafuta mwenza wa maisha yako.
Usije ukaacha kunisikiliza mimi mwenzako nasema nina uthibitisho wa asilimia 99.9% kama unataka mke wife material mtafute sasa ukiwa na hali hiyo ngumu hivyo hivyo, wakati unaumiza kichwa usiku ukifika ule nini naomba usisahau kuwaza wapi utapata mke mzuri kwahiyo endelea kutafuta kama ni kutongoza tongoza kama ni kuimbisha imbisha usisubiri upate pesa kama unataka kweli "mke wa maisha yako"
Nyie mnaowaambia wenzenu watafute pesa kwanza kisha mke atafata, mnawadanganya nawahakikishia, wenye pesa hupata wanawake wa kuwachezea na kuwaacha hao wapo wengi, lakini kumpata mke kweli kweli ndugu zangu pesa hai hitajiki.
KWANINI NASEMA HIVI ?
Mke kweli hashawishiki na wingi wa pesa zako na tena ukiwa na pesa kumshawishi mwanamke wa kweli kuwa ni kweli unampenda mjomba kibarua chake sio kidogo mama angu mi nawambia.
Real wife material Hashawishiki na magari bro, hashawishiki na hayo mabiashara my brother nawambia hivi kama kweli unataka mke na unataka usije kuchelewa kuoa watu tukakunyooshea kidole, huu muda ambao uko hovyo usisahau msaka wa ubani wako, achana na pesa we msake ataeweza kuishi na wewe ktk hali yako hiyo mbovu kisha msimame pamoja.
Ila ukisimama peke yako, ukawa na pesa ukakamilika kila idara Ishu ya kumpata MKE BORA ni kipengele kitakachokuchukua si chini ya 5yrs, we endelea kuwasikiliza hao wanaokwambia saivi, Tafuta pesa.
hoja ipi mkuu..maana hapa kuna hoja nyingi sana zimetolewa na mleta thread na wachangiajiNaunga mkono hoja kwa 91%