The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Huu ndio ukweli na ukweli ndio huu.
Hakuna mwanaume mwenye hela anapenda mwanamke mwenye makalio makubwa. Wanawake wenye makalio makubwa ni kwa ajili ya wanaume masikini ili wapate faraja na wasahau shida
Wanawake wenye makalio makubwa ni chanzo cha umasikini, wanaume masikini huwapenda hao wanawake na wanaendelea kua masikini. Maana mwanamke akishakua na makalio makubwa akili yake yote inahamia makalioni, hakuna cha maana anachowaza zaidi ya makalio yake
Wanaume wenye pesa wanapenda mwanamke ambae atamsaidia kupiga hatua kutoka pale alipo kwenda mbele zaidi, wanawake english figure ndio wana hiyo sifa maana wanabalance kati ya akili na miili yao, wanawake wenye makalio makubwa wao hawana balance, akili yote iko kwenye makalio
Jaribu kuangalia matajiri wote Duniani, marais wote Duniani na watu wote wenye akili huwezi kukuta anamiliki mwanamke mwenye makalio makubwa. Wanamuziki wengi wa marekani waliokua wanaruka na wanawake wenye makalio makubwa wote walifilisika na wako na hali mbaya balaa, wengine waliojitambua mapema walitafta wanawake english figure wanaojielewa, angalia walipo sasa nina Diddy, Jay Z, Kanye. 50 cent alipojifanya anapemda makalio angalia hali yake sasa, mufilisi.
Vijana , kama unataka mafanikio na utajiri tafta mwanamke saizi ya kati, ambae anaweza kubalance akili yake na mwili wake, ukitaka umasikini tafta wenye makalio makubwa, hao ni liability, usipokufa kwa presha utakufa kwa umasikini.
Tafta mwanamke wako wa maana weka ndani, hayo yenye makalio inakua chapa ilale, ukiwa na hela zako extra unatafta moja unapiga unaenda kulala.
Huu ni ushauri wa bure, ningeutoa kwenye mikutano mikubwa ulaya ningelipwa pesa ndefu sana.
Hakuna mwanaume mwenye hela anapenda mwanamke mwenye makalio makubwa. Wanawake wenye makalio makubwa ni kwa ajili ya wanaume masikini ili wapate faraja na wasahau shida
Wanawake wenye makalio makubwa ni chanzo cha umasikini, wanaume masikini huwapenda hao wanawake na wanaendelea kua masikini. Maana mwanamke akishakua na makalio makubwa akili yake yote inahamia makalioni, hakuna cha maana anachowaza zaidi ya makalio yake
Wanaume wenye pesa wanapenda mwanamke ambae atamsaidia kupiga hatua kutoka pale alipo kwenda mbele zaidi, wanawake english figure ndio wana hiyo sifa maana wanabalance kati ya akili na miili yao, wanawake wenye makalio makubwa wao hawana balance, akili yote iko kwenye makalio
Jaribu kuangalia matajiri wote Duniani, marais wote Duniani na watu wote wenye akili huwezi kukuta anamiliki mwanamke mwenye makalio makubwa. Wanamuziki wengi wa marekani waliokua wanaruka na wanawake wenye makalio makubwa wote walifilisika na wako na hali mbaya balaa, wengine waliojitambua mapema walitafta wanawake english figure wanaojielewa, angalia walipo sasa nina Diddy, Jay Z, Kanye. 50 cent alipojifanya anapemda makalio angalia hali yake sasa, mufilisi.
Vijana , kama unataka mafanikio na utajiri tafta mwanamke saizi ya kati, ambae anaweza kubalance akili yake na mwili wake, ukitaka umasikini tafta wenye makalio makubwa, hao ni liability, usipokufa kwa presha utakufa kwa umasikini.
Tafta mwanamke wako wa maana weka ndani, hayo yenye makalio inakua chapa ilale, ukiwa na hela zako extra unatafta moja unapiga unaenda kulala.
Huu ni ushauri wa bure, ningeutoa kwenye mikutano mikubwa ulaya ningelipwa pesa ndefu sana.