Lyn Vivac
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 858
- 1,017
Hujaelewa, tunaongelea dini kwa wale wanaojua dini na kuishika dini sio wanaoisikia na kufata mkumbo. Dini ni kitu kingine kabisa ndg yangu. Mapenzi ya upofu ndiyo hayatambui dini.KWA HIYO UNATAKA KUTUAMINISHA KUWA DINI INAZIDI NGUVU MAPENZI?ACHA KUJIDANGANYA WEWE,MAPENZI NI ZAIDI YA MAKOMBORA YA MRUSI....
Huyo mapanki mwenyewe analegea kwa mkewe