Vijana mnaotarajia kuoa mjipange kwelikweli

Luther760

JF-Expert Member
Feb 17, 2019
316
240
Natumai mko poa, Ingawa korona ndo wimbo kila sehemu. Wakuu nimefanya karesearch kidogo tangu mwaka 2017 nilipo toka chuoni.

Nikarudi home sina namna, nikaanza kununua karanga. Wauzaji wakubwa ni wanawake wa umri kuanzia 20-35 hivi. Kilicho nishangaza, wengi ni single mothers, Kuna sehemu unakuta mtaa mzima ni haohao tu. Ukiuliza kwa nn, ukweli sababu zao ni za kitoto sana.

Wengi wameachika baada ya miaka miwili walio kaa sana ni miaka mitano. Hapa kunahitajika umakini mkubwa sana katika kuchagua mwanamke wa kuishi nae. Nilicho baini kwa hawa wanawake, wengi yaonekana hawakuwa na Upendo wa dhati kwa wenzi wao, pia wanawake wengi kwa sasa wanapenda uhuru sio kubanwa banwa na mwanamme.

Mwisho kabisa hofu ya Mungu kwa walio wengi imetoweka kabisa, yaani kama pochi halijanona jiandae kisaikolojia yangu ni hayo msije sema sikuwadokezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasingizia eti mume anasumbua kuosha vyombo, kufua, kufagia, kupika kila wakati na wengine si tu hawapendi kupika bali pia hawajui kupika. Kikubwa ni mpunga tu. Na wengi ni wachafu yaani mtu unamwacha nyumbani hali unayokutana nayo utadhani umemwacha mbuzi. Vyombo vya kulia toka jana havijaoshwa, watoto wachafu, bafuni/ chooni ndio usiseme. Ukimuuliza anasema kachoka. Mtu huyu sasa wa kazi gani.
 
Wanasingizia eti mume anasumbua kuosha vyombo, kufua, kufagia, kupika kila wakati na wengine si tu hawapendi kupika bali pia hawajui kupika. Kikubwa ni mpunga tu. Na wengi ni wachafu yaani mtu unamwacha nyumbani hali unayokutana nayo utadhani umemwacha mbuzi. Vyombo vya kulia toka jana havijaoshwa, watoto wachafu, bafuni/ chooni ndio usiseme. Ukimuuliza anasema kachoka. Mtu huyu sasa wa kazi gani.
vipi bado upo nae?

Hittin Blunts and Bustin Nuts
 
Wanasingizia eti mume anasumbua kuosha vyombo, kufua, kufagia, kupika kila wakati na wengine si tu hawapendi kupika bali pia hawajui kupika. Kikubwa ni mpunga tu. Na wengi ni wachafu yaani mtu unamwacha nyumbani hali unayokutana nayo utadhani umemwacha mbuzi. Vyombo vya kulia toka jana havijaoshwa, watoto wachafu, bafuni/ chooni ndio usiseme. Ukimuuliza anasema kachoka. Mtu huyu sasa wa kazi gani.
Wa kwako ndo yupo hivyo. Binadamu hawafanani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijaelewa unanunua karanga za nini? Logic ya wewe kununua karanga ni ipi? Au karanga ni lugha fulani hivi mjini? Na kama ni karanga hizi hizi za kawaida kwa nini kila siku au kila mara ununue karanga?
 
I am pro marriage, but I do believe in marrying with an open mind. The only benefit in a modern marriage institution has to a man is social conformity. Even your father (or 45+ older men) will not rush you into marriage because they understand what you will go through. They start hinting when you have your life together but they will not pressure you.

If you do not want kids, do not get married. If you marry do it so that your kids can grow up in stable environment with both parents. Be extremely selective when choosing a life-partner.

This is purely for demonstration purposes and I am in no way trying to commodify women.

Consider the dating zone as a market, and women as tomatoes. You want to make some stew (kids), would you take a rotten tomato to make the stew? No, because of obvious health risk. In this context, the rotten tomatoes are women who are more trouble than they are worth (single mothers, gold diggers, slay queens, 25+ women - unless you know her for not less than 15 years usije ukasema hukuambiwa etc.). So, the best approach is to keep checking other stands until you find a fresh tomato.

If you can't find a woman who is good enough for you (the one adding value to your life), then stay single and avoid a sad life. People do not lie when they say the biggest customers of madanguro (brothels) and bars are married men, and even the bible itself that promotes marriage say that it is better to live in a dessert than with a quarrelsome wife.
 
Back
Top Bottom