jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,208
- 5,456
Nikwel Mimi na mpenzi wangu tuliachana yeye akaenda kuolewa lakin cha ajabu nilikuwa nikimuitaji ana kuja kunipa penzi na wakati kashaolewa na mpaka anaolewa Mimi sikuwai kuzaanae mtotoWenyewe wanadhani kila anayesimama upande wa single maza basi ni single maza, nimeolewa, dada zangu wako kwa ndoa zao, na mama kazeeka na baba adi saivi, Ila kuwa single maza sio kosa wala si ulemavu kama marios wengi wanavodhani watu wanaoa masingle maza na wanaishi vizuri kuliko ata waliooana bila watoto