Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Kama wewe ni kijana upo ktk mahusiano na single Mother kabla hujamuoa jiulize maswali haya........ .
1.unafahamu chanzo cha yeye kutengana na mzazi mwenzake
2.ushawahi kupata nafasi ya kuzungumza na mzazi mwenzie akupe story zake kiundani mpka walifikia hatua ya kutengana
3.jina la mtoto wake anatumia ubini Gani wa baba yake mzazi Au baba wa mwanamke
4.umeshawahi kujiuliza ni kwanini jamaa hamudumiii mwanamke aliyezaa nae
5.ni kwanini baba wa moto hajihusishi na chuchote kuhusu mtoto wala huyo mwanamke
6.kama jamaa ndio alimuacha mwanamke ndio alimuacha mwanamke unajua ni kwanini alimuacha alafu wewe ndo umchukue
7.jamaa aliyemzalisha bado wanawasiliana na kama hawasiliani ikitokea siku jamaa anataka kumuona mtoto wake utamzuia
Haya endeleeni kuongezea
1.unafahamu chanzo cha yeye kutengana na mzazi mwenzake
2.ushawahi kupata nafasi ya kuzungumza na mzazi mwenzie akupe story zake kiundani mpka walifikia hatua ya kutengana
3.jina la mtoto wake anatumia ubini Gani wa baba yake mzazi Au baba wa mwanamke
4.umeshawahi kujiuliza ni kwanini jamaa hamudumiii mwanamke aliyezaa nae
5.ni kwanini baba wa moto hajihusishi na chuchote kuhusu mtoto wala huyo mwanamke
6.kama jamaa ndio alimuacha mwanamke ndio alimuacha mwanamke unajua ni kwanini alimuacha alafu wewe ndo umchukue
7.jamaa aliyemzalisha bado wanawasiliana na kama hawasiliani ikitokea siku jamaa anataka kumuona mtoto wake utamzuia
Haya endeleeni kuongezea