Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Ndugu zangu vijana kusoma ni kuelimika! Mpaka muda huu bado hamjagundua kwamba UKAWA/UKUTA unawapotezea muda wenu tu.
Tubuni na kuiamini CCM iliyowalea mtakaribishwa tu wala bado hamjachelewa. Msitarajie Upinzani kwenda IKULU kwa miaka ya karibuni. Labda 2055.
Bora mjiunge na Timu inayoshinda kuliko kujipa pressure bure! Mtaandamana weeeee, mtadeki barabara weee! Mtazungusha mikono weeee!
Wapinzani hawana nia ya kwenda IKULU kutokana na kutokuwa na Mikakati wala nia hiyo!! Hamjachelewa bado rejeeni kundini!!
Tubuni na kuiamini CCM iliyowalea mtakaribishwa tu wala bado hamjachelewa. Msitarajie Upinzani kwenda IKULU kwa miaka ya karibuni. Labda 2055.
Bora mjiunge na Timu inayoshinda kuliko kujipa pressure bure! Mtaandamana weeeee, mtadeki barabara weee! Mtazungusha mikono weeee!
Wapinzani hawana nia ya kwenda IKULU kutokana na kutokuwa na Mikakati wala nia hiyo!! Hamjachelewa bado rejeeni kundini!!