mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Mcheza ngoma huvutia kwake!Basi wafanye hvyo... Wasisahau na maofisa kilimo
Acha kupotosha watu weweAjira sio kipaumbele katika awamu ya 5 viongozi waache kudanganya vijana wenye ndoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukivamba ww utavutia kwakoMcheza ngoma huvutia kwake!
Kaka wewe ndio umenena maana maana hata sasa hazina hakuna kitu kinu kimekauka kabisa ...sababu ya miradi mikubwa inayoendelea ...Ajira sio kipaumbele katika awamu ya 5 viongozi waache kudanganya vijana wenye ndoto
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣 🤣 mwamba ngoma...Mcheza
Acha kuwa mjuaji Mkuu,Na uache kuongea uchadema chadema kwa mambo ya serikali.Kaka wewe ndio umenena maana maana hata sasa hazina hakuna kitu kinu kimekauka kabisa ...sababu ya miradi mikubwa inayoendelea ...
Yaani kwa nayesubiria ajira anajidanganya vibali vinatolewa kwa watalamu wabobezi wachache tu si mko hapa mtakuja kuona
sent from toyota Allex
Sema zimebaki dakika tu mkuu.. Huu mwezi deme ndo umeisha hv
Hatari yan ngoja tuone ukizingatia zile bilioni 500 zangu zimezuiliwa tutakoma tuMwaka huu watatoa za danganya toto..ila kuanzi mwakani...hahaaaa hamtasikia ajira mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo zuri lakini vijana tufanye uamuzi sahihi baada ya adhabu ndefu sasa itakuwa ni zamu yetu ku reciprocateSerikali ya awamu ya tano na Ajira nje nje.
Maneno ya boya huenda kuboya boya tu kama lile boya la kwenye meli