Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Nimeambiwa na rafiki yangu mmoja ambaye leo tar 11 Feb. 2018 alikwenda kwa KATIBU TAWALA wilaya mojawapo ya hapa mjini Dar es salaam.
Kasema ndani ya masaa 2 aliyoshinda hapo viwanja vya ofisi ya Katibu tawala amekutana na vijana wenzake kama 50 hivi waliopeleka ombi la kupitishiwa barua zao ili ziende TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA.
Sasa kama ndani ya masaa mawili vijana walikaribia hamsini, je, kutwa mzima walifika idadi gani?
Je, wiki moja watafika idadi gani?
Hiyo ni wilaya moja, au tufanye ni mkoa mmoja kwakuwa Dar ni jiji. Je, Tukijumlisha Tanzania yote tutapata idadi gani?
Sera ya ajira na vijana ipitiwe upya kwa haraka. Serikali na taasisi binafsi hasa NGOs waangalie namna ya kumkomboa huyu kijana.
Kasema ndani ya masaa 2 aliyoshinda hapo viwanja vya ofisi ya Katibu tawala amekutana na vijana wenzake kama 50 hivi waliopeleka ombi la kupitishiwa barua zao ili ziende TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA.
Sasa kama ndani ya masaa mawili vijana walikaribia hamsini, je, kutwa mzima walifika idadi gani?
Je, wiki moja watafika idadi gani?
Hiyo ni wilaya moja, au tufanye ni mkoa mmoja kwakuwa Dar ni jiji. Je, Tukijumlisha Tanzania yote tutapata idadi gani?
Sera ya ajira na vijana ipitiwe upya kwa haraka. Serikali na taasisi binafsi hasa NGOs waangalie namna ya kumkomboa huyu kijana.