Vijana kuvaa ma ringi/ mabangili ya chuma mkononi Nini maana yake?Yana kazi gani? Faida gani? Ni kweli yanawakinga na wachawi?

MR.NOMA

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
338
502
Wadau Habari za Jumapili.Nimekuwa nikishuhudia vijana wenzetu was kiume wengi wamevaa mibangili mibaya ya chuma,na kwa siku za hivi karibuni naona wameongezeka zaidi.Swali nini chimbuko asili ya hayo mabangili? Na ni kweli wengi hupewa na waganga kujilinda?
 
Wadau Habari za Jumapili.Nimekuwa nikishuhudia vijana wenzetu was kiume wengi wamevaa mibangili mibaya ya chuma,na kwa siku za hivi karibuni naona wameongezeka zaidi.Swali nini chimbuko asili ya hayo mabangili? Na ni kweli wengi hupewa na waganga kujilinda?
Hizo ni mila na desturi sema tu wameboresha na kuanza kutoka kwenye uharisia.
Katika kabila letu la wasukuma hili lipo tangu mababu zetu na wanayaita "matendele" na huvaliwa kuwaabudu mizimu wa ukoo fulani. Si hivyo tu walikuwa wanavaa hadi miguuni japo kwa sasa ukivaa unaweza kuambiwa unatoa sifuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utamaduni umerisiwa kutoka kwa mababu zetu
Kwenye kabila letu kijana akivaa inamfanya awe shababi,mpiga kazi,mwenye nguvu nk
 
Daah kwa wasukuma hiyo ni jambo la kawaida sana ,tena yapo ya aina tofauti tofauti.....nlishawahi kumuuliza mtu akaniambia hyo ni kama kinga ,ili watu wengine wasiwazuru kimazingara......
 
Daah! Mrejesho mzuri kweli wadau.leo nimejifunza kitu kikubwa kuhusu hayo madubwasha maana, nilikuwa najiulizaga maswali mengi sana,kwanini vijana wenzetu wanavaa haya mabangili na hata mengine hayana mvuto kabisa.Ila kwa mirejesho ilivyo humu nimeamini hata hapa JF wapo wanaoyavaa Kama Kinga na ndio maana wengine wamerespond huu uzi kwa hasira na matusi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom