Ni kweli UVCCM ya sasa hivi siyo ile ya enzi za Mwl Nyerere pamoja na kwamba kichwa cha mada yako kinakuwa kama vile kina unazi fulani ndani yake hasa pale unapoleta chagizo la mchango wa 'WildCard' lililokupelekea kuleta mada.
Kitu ambacho kila mara kinakera ni jamii kuzidi kulinganisha mfumo uliopo na wa enzi za Mwl Nyerere. Halafu wana hitimisha kwa kusema wa enzi za Mwl Nyerere ulikuwa ni bora zaidi ya huu.
Dunia ya sasa siyo kama ile iliyokuwa enzi za Mwl Nyerere na Tanzania ndivyo hivyo. Political landscape has changed for better not just in Tanzania but in the whole world.
Jaribu kuangaza katika dunia ambayo imetuletea huu mfumo wa siasa za sasa na jibu utakalolipata ni kuwa, katika siasa hizi 'there's no free lunch' na 'charity' start at home kwa maana kuwa, primarily, watu wanaingia katika siasa siyo kwa mapenzi na utashi wa kuwatumikia wananchi kwanza bali hili linakuwa ni secondary choice. Na hii utaiona kwa wabunge wetu pia ambao kabla ya kuwa waheshimiwa, wengi wao maisha yao yalikuwa ni ya kipato cha chini kama siyo duni lakini baada ya kuingia kwenye siasa, kwa sasa ni mamilionea. Huu mfumo, hauna 'Mama Thereza'. Do you know, how many million if not billion dollar spend by people or companies on U.S.A politics to lobby politician or put their own people or did you heard about the scandal of MP in United Kingdom fiddling their expenses for their own gain. Point yangu ni kuwa, hili ni tatizo la siasa ambazo tunazi copy kutoka nchi za magharibi na haiwezekani kuliepuka labda tu turudi tena kwenye siasa za Mwl Nyerere.
Mazingira ya kisiasa ya wakati ule yalimuwezesha Mwl Nyerere kuwa na hiyo anasa ya Leadership Recruitment kwa sababu the guy was having absolute power in our country. Jamii haikuwa na jinsi bali kufuata yale aliyokuwa akiyaamini. Kushindwa kufanya hivyo ilikuwa ni tiketi ya kutengwa, kudhalilishwa na hata kutupwa gerezani. Don't be fooled to think and believe that every person who came through Mwl Nyerere Leadership recruitment alikuwa kweli ana hizo sifa naturally na kwa mapenzi, utashi na matakwa yake badala ya kulazimishwa na system ambayo ilikuwa hairuhu uhuru wa kibinadamu katika kujiamulia mambo yao.
Tuko kwenye system ambayo maslahi binafsi yanatangulizwa mbele na pale ambapo kuna maslahi au uwezekano wa kuwepo, watu ndio hukimbilia. It's true, demokrasia ya sasa ina 'scarcity value' kwa vile inabeba pia gharama binafsi na ambayo ina reward in terms Prestige, social status and accumulation of wealth. Namba ya watu watakaojitokeza kugombea Uchaguzi ujao wa ndani CHADEMA itatuonyesha kama jamii imeanza kuona kama kuna maslahi ndani ya chama au la. ndiyo maana hata heading yako hukuchagua UDP, TLP kiwe ndiyo kiini cha mazungumzo kwa vile ulijua kabisa hutapata watu wengi watakaoguswa na mada yako.
Ni wazo langu..
Uliyoyaongea yana ukweli lakini ndugu Mchambuzi bado anapoint zaidi katika hili. Kama ulivyosema wakati wa Nyerere sio wote walikuwa waadilifu by choice. Wengine walikuwa hivyo kwa kuogopa mkono wa chuma wa Mwalimu. Well kwa kuwa Mwalimu hayupo sasa haina maana watu waanze kuwa wabinafsi na wafujaji wa mali za umma au wachumia tumbo. Kwakuwa Mwalimu hayupo what we need now is a good governance system and the rule of law(invisible hand) kuendelea kuwalazimisha watu kuwa waadilifu kama wakati wa Mwalimu. That is what we need ili kuendeleza maadili serikali na katika sekta ya siasa (kama wakati wa Mwalimu)
Popote unapoona nina ushabiki unatakiwa kupajadili kwa hoja ili nirudi kwenye mstari, kama sisi tunavyosema kila wakati unapokuwa na hoja za kidini na maneno yenye kukashifu badala ya kujenga; Ni kawaida kupitiwa mara nyingine kwani sote nui binadamu na tuna emotions lakini ni muhimu pia kukubali kukosea; vinginevyo umeongea ya msingi sana katika bandiko lako, hasa zile sababu tatu kwanini vijana wengi hujikita katika siasa; hakuna sehemu ulipojadili kwamba kimsingi ni wanaenda kutumikia nchi, na upo sahihi katika hili; vinginevyo kimsingi ni for private gain, suala la public gain ni baadae, ingawa mwenzetu wakurogwa haoni hilo;
Uliyoyaongea yana ukweli lakini ndugu Mchambuzi bado anapoint zaidi katika hili. Kama ulivyosema wakati wa Nyerere sio wote walikuwa waadilifu by choice. Wengine walikuwa hivyo kwa kuogopa mkono wa chuma wa Mwalimu. Well kwa kuwa Mwalimu hayupo sasa haina maana watu waanze kuwa wabinafsi na wafujaji wa mali za umma au wachumia tumbo. Kwakuwa Mwalimu hayupo what we need now is a good governance system and the rule of law(invisible hand) kuendelea kuwalazimisha watu kuwa waadilifu kama wakati wa Mwalimu. That is what we need ili kuendeleza maadili serikali na katika sekta ya siasa (kama wakati wa Mwalimu)
Kwanza kabisa ni KICHWA CHA HABARI CHAKO kinachobainisha kuwa Vijana kugombea uongozi CCM. Kwa mtu yoyote makini anakuona wewe ni mshabiki wa chama tofauti na CCM. Kwani siku hizi vijana wengi sana huko Tanzania wametokea kukimbilia kwenye Siasa mfano ulio hai ni kama Vijana wengi wabunge ambao sio CCM kama Zito kabwe, Mnyika, Mdee, Kafurila, Nasari etc. Kwa mfano huo tu unaona kuwa vijana sio tu wa CCM wanagombea uongozi ndani ya chama chao bali vijana mbalimbali wanatafuta uongozi kupitia vyama mbali mbali vilivyosajiliwa kisharia huko Tanzania.
Lakin kwa kukusaidia zaidi ni kuwa CCM siku hizi wameachana na ILE FARSAFA YA NYERERE kuwa VIJANA TAIFA LA KESHO. Kwani farsafa hiyo iliondoa sana vijana katika kugombea au haya upata uongozi mkubwa katika Chama chao.
Lakin la mwisho wachambuzi siku zote wanaanzia kwenye kichwa cha makala yako kabla kuangalia kile ulichobainisha, NAKUSHAURI BADILISHA KICHWA HICHO KISOMEKE VIJANA KUGOMBEA UONGOZI KATIKA VYAMA VYA SIASA, JE WANACHOFATA NI NINI?.
Kuhusu mitazamo yenu kuhusu mimi hilo si jambo la kushangaza kwani huko Tanganyika ile dhana ya UDINi imezidi kujikita na hata neno lenyewe UDINI linamaanisha uislam. Hivyo sitaweza hata siku moja kuikana iimani yangu na nitasema kweli daima.
Kama umechunguza maandiko yangu siku zote najibu kile ninachoulizwa na si vinginevyo. Kumbuka kuwa humu kuna mas'hala mengi, mzaha mwingi na hata kejeli nyingi. sasa kwa mtu makini anajibu kwa jinsi ulivyoulizwa mas'hala kwa mas'hala, kejeli kwa kejeli etc na kama utaona katika mada yoyote ile nimejibu mas'ala katika kitu serious naomba nijuze haraka niombe msamaha kwalo.
Huo ndio mtazamo wangu katika mada yako.
Uliyoyaongea yana ukweli lakini ndugu Mchambuzi bado anapoint zaidi katika hili. Kama ulivyosema wakati wa Nyerere sio wote walikuwa waadilifu by choice. Wengine walikuwa hivyo kwa kuogopa mkono wa chuma wa Mwalimu. Well kwa kuwa Mwalimu hayupo sasa haina maana watu waanze kuwa wabinafsi na wafujaji wa mali za umma au wachumia tumbo. Kwakuwa Mwalimu hayupo what we need now is a good governance system and the rule of law(invisible hand) kuendelea kuwalazimisha watu kuwa waadilifu kama wakati wa Mwalimu. That is what we need ili kuendeleza maadili serikali na katika sekta ya siasa (kama wakati wa Mwalimu)
Una hoja ya msingi lakini una sahau kwamba hamasa yangu kuja na mada hii ni sio kitu kingine zaidi ya kujibu swali la wildcard kama uliamua kunisoma vizuri; Lakini wewe umeingia kwenye huu mjadala huu kama vile niliamka siku moja na kuja na wazo la kuja na mjadala kuhusu vijana na uongozi Tanzania; vinginevyo mjadala kuhusu vyama vingine na uongozi kwa vijana ni ruksa kuingia humu, ili mradi tufahamu kwamba chanzo chake ni swali muhimu la mwenzetu wildcard ambalo niliamua kulifanya kama kianzio i.e. kimbilia kimbilia ya watu wengi ccm kutafuta uongozi katika nyakazi hizi ambapo CCM inapumulia mashine; na pia majivuno ya viongozi wa CCM kwamba CCM ni chama ambacho ni kimbilio la vijana wasomi;
Hakuna aliyebisha kwamba vijana wanaenda vyama vingine, lakini wildcard hakuuliza swali hilo;
Kama lilikuwa suala la WC basi ungemjibu hapo hapo katika bandiko hilo lakin ukiliandalia bandiko maalum lazima ubadilike kwani ulichotaka kubainisha hapo ni kitu kipana zaidi ya suala lake ni faida na manufaa kwa vijana na changamoto zao katika ajira za vyama vya siasa.
Waarabu tuna usemi mmoja. (nitauweka hapa kwa kimombo kwa faida ya wengi wasiojua kiarabu).
A right question is usually better than a right answer for a wrong question.
Ulitakiwa mkuu kumsahihisha kwanza suala lake na kumpa jibu ili litoe changamoto kwa vijana wote na faida kwa wote.
Kila la kheir. Tusonge mbele ammi.
Nitaanzisha mjadala mwingine ambao utatokana na mawazo kutoka mjadala huu kwani ni muhimu sana tuanze na kuangalia CCM kwanza kwani hiki ndio chama chenye dhamana ya kuongoza nchi; hao vijana wa chadema, TLP n.k bado hawajapewa dhamana ya kuongozi nchi; Vijana wa CCM wanajadiliwa kwa sasa kwa vile chama chao ndio kinaunda serikali na kina mamlaka ya teuzi mbalimbali za kuhudumia umma; Jaribu kuangalia mjadala huu kwa mtazamo huo, sio tu kwa mtazamo wa vijana kuwa makatibu wa CCM mkoa n.k;
Kwanza kabisa ni KICHWA CHA HABARI CHAKO kinachobainisha kuwa Vijana kugombea uongozi CCM. Kwa mtu yoyote makini anakuona wewe ni mshabiki wa chama tofauti na CCM. Kwani siku hizi vijana wengi sana huko Tanzania wametokea kukimbilia kwenye Siasa mfano ulio hai ni kama Vijana wengi wabunge ambao sio CCM kama Zito kabwe, Mnyika, Mdee, Kafurila, Nasari etc. Kwa mfano huo tu unaona kuwa vijana sio tu wa CCM wanagombea uongozi ndani ya chama chao bali vijana mbalimbali wanatafuta uongozi kupitia vyama mbali mbali vilivyosajiliwa kisharia huko Tanzania.
Lakin kwa kukusaidia zaidi ni kuwa CCM siku hizi wameachana na ILE FARSAFA YA NYERERE kuwa VIJANA TAIFA LA KESHO. Kwani farsafa hiyo iliondoa sana vijana katika kugombea au haya upata uongozi mkubwa katika Chama chao.
Lakin la mwisho wachambuzi siku zote wanaanzia kwenye kichwa cha makala yako kabla kuangalia kile ulichobainisha, NAKUSHAURI BADILISHA KICHWA HICHO KISOMEKE VIJANA KUGOMBEA UONGOZI KATIKA VYAMA VYA SIASA, JE WANACHOFATA NI NINI?.
Kuhusu mitazamo yenu kuhusu mimi hilo si jambo la kushangaza kwani huko Tanganyika ile dhana ya UDINi imezidi kujikita na hata neno lenyewe UDINI linamaanisha uislam. Hivyo sitaweza hata siku moja kuikana iimani yangu na nitasema kweli daima.
Kama umechunguza maandiko yangu siku zote najibu kile ninachoulizwa na si vinginevyo. Kumbuka kuwa humu kuna mas'hala mengi, mzaha mwingi na hata kejeli nyingi. sasa kwa mtu makini anajibu kwa jinsi ulivyoulizwa mas'hala kwa mas'hala, kejeli kwa kejeli etc na kama utaona katika mada yoyote ile nimejibu mas'ala katika kitu serious naomba nijuze haraka niombe msamaha kwalo.
Huo ndio mtazamo wangu katika mada yako.
Kama lilikuwa suala la WC basi ungemjibu hapo hapo katika bandiko hilo lakin ukiliandalia bandiko maalum lazima ubadilike kwani ulichotaka kubainisha hapo ni kitu kipana zaidi ya suala lake ni faida na manufaa kwa vijana na changamoto zao katika ajira za vyama vya siasa.
Waarabu tuna usemi mmoja. (nitauweka hapa kwa kimombo kwa faida ya wengi wasiojua kiarabu).
A right question is usually better than a right answer for a wrong question.
Ulitakiwa mkuu kumsahihisha kwanza suala lake na kumpa jibu ili litoe changamoto kwa vijana wote na faida kwa wote.
Kila la kheir. Tusonge mbele ammi.
Nakubaliana na wewe kwa yote uliyoyasema kwa kuongeza point zaidi,
Nafikiri baada ya kuingia kwenye huu mfumo mpya wa uchumi, Nchi ilitakiwa iwe na kiongozi mwenye msimamo mkali na mzalendo wa kweli katika utendaji na utekelezaji wa majukumu ya nchi kwa sababu nchi ilikuwa haijawa na sheria madhubuti za kukabiliana na soko huria. Matokeo yake, nchi iliingiliwa na crooks investor, corrupt government executive and transgressor politician. Matokeo yake, tunaona matabaka makubwa kati ya wenye nacho wachache na masikini wengi yameibuka kwa kasi.
Nchi iko mahali ambapo kwa sasa kikundi cha watu wachache wana influence government policy in our economy na kama watahisi kuna uwezekano wa oposition to take over, watahakikisha wanafanya kila linalowezekana kujipenyeza ili waendelee kuvuna zaidi kwa sababu wanasiasa wetu wengi walishakuwa wabinafsi wa kupindukia.
Angalia Mexico na tatizo la drug cartel. Those guys now are bigger than the Government kwa sababu waliachiwa na corrupt official wakajijenga.
Would it be correct kusema CCM sasa imegeuka kuwa a cartel political party and no longer a mass - based political party?
CCM haijafikia hicho kiwango lakini pale chama kinapofungua milango ya rushwa kuwa ndiyo njia na kigezo cha utendaji wa shughuli zake, kiko njiani kuelekea huko. kibaya zaidi ni pale unapokuta viongozi wa chama na serikali ni walewale, kitu ambacho inakuwa hakuna hata kivuli au kioo cha viongozi wa serikali kujiangalia au kuangaliwa.Pamoja na kwamba mimi siyo muumini sana wa siasa zilizokuwa za waasisi wa nchi yetu, lakini misingi waliyoijenga katika chama hicho ndiyo hiyo ambayo imejitahidi kukishikilia chama mpaka sasa kutofikia kiwango cha kuwa cartel political party, lakini kama chama kitaendelea kuimba tu nyimbo za kuwafariji wananchi (kujivua Gamba, uzalendo kwanza n.k) bila chenyewe kubadilika na ku walk the talk, siyo muda mrefu kitafikia kiwango hicho.
I just wish, nchi kuwa na chama au vyama vya upinzani madhubuti vyenye ku walk the talk ambavyo vinaweza ku set ajenda ambazo really matter to wananchi badala ya kuwa carbon copy ya CCM huku vikicheza ngoma ile ile ambayo CCM anaicheza.
Mchambuzi, samahani kwenda nje ya mada. Hivi ulishaona wapi katika nchi yenye viongozi wa kisiasa ambao wako serious wanabishana kuhusu kadi ya chama kwa wiki moja? ( umerudisha, sijarudisha, mwanachama, siyo mwanachama), really? Hii tu utaipata Tanzania.