Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Mhe. RAIS ameifungua nchi, SI Kwa wazee Bali Kwa vijana. Wakenya wamejaa Tanzania Kwa ajili ya matembezi ,biashara, ajira nk. Sisi Watanzania tumejazana Dar na tunajipongeza Kwamba tumeiona Dunia. Hapana vijana badilisheni fikra, mtizamo na mikakati, wazeni kuvuka mpaka, wazeni kufanya biashara za kuvuka mpaka, wazeni kuajiriwa Duniani.
Mnatafuta distinction za Nini kama fikra zimeishia dar? Maisha ya Dar ndiyo yakufanye usote ukisoma bila kulala? Unapata first class anateuliwa lower second? Unapata first class ujui hata mwonekano wa passport, hapana tukatae utumwa tutembee tuache mji upumue.
Naandika haya baada yakuona tatizo la ajira nchini, hakuna namna utumishi wa umma ulio na uwezo wa kuajiri less than one milioni utafanikisha kiu ya wataka ajira. Acheni kupoteza muda, ondoeni fikra za kupata life Tanzania pekee wazeni nje.
Vijana wakitoka Kwa wingi watapata ujira nje na kutuma fedha zitakazotumika kama mitaji Kwa ndugu zao , vijana wakitoka Watanzania watapata pakufikia HUKO nje. Tutoke
Dar imejaa kila mwanafamilia nchi Hii, hakuna mwenye hofu ntafikia wapi dar maana kila Kijiji kina mtu dar, kwanini tusiamue kuwa na mwanafamilia kila mji Duniani? Tunaweza tuanze Sasa. Tutoke
Tumfate Mkuu wa Uhamiaji atupe pasipoti zetu ambazo amekabidhiwa akae nazo akisubiri tufike watupe, tumpunguzie jam mama Samia Kwa kusambaa kuliko Sasa kila wakati tunampigia kelele atuajiri. Tutoke.
Kama tulivyo wakarimu ndivyo na wenzetu walivyo, tuondoe hofu maana Mabalozi wapo Duniani kote wanalipwa fedha kutulinda tunapoonewa. Tutoke.
Kampeni Hii iwe chachu ya watawala kuwakumbusha vijana wajibu wao wa kutoka , iwe kampeni ya vyuo kutoa elimu ya kujitegemea HUKO nje, ndani tumejaa. Iwe kampeni ya nchi katika kukuza Diplomasia na kupanua mapato yatokanayo na Watanzania waishio nje. Tutoke.
Tunao madaktari na Manesi, tunao vijana wa IT ambao kwa wingi wao tumeshindwa kuwaajiri. Tuwasaidie watoke wakafanye kazi nje mwisho tutawaita wakiwa tayari wamebobea na nimadaktari bingwa. Vijana tokeni
Mnatafuta distinction za Nini kama fikra zimeishia dar? Maisha ya Dar ndiyo yakufanye usote ukisoma bila kulala? Unapata first class anateuliwa lower second? Unapata first class ujui hata mwonekano wa passport, hapana tukatae utumwa tutembee tuache mji upumue.
Naandika haya baada yakuona tatizo la ajira nchini, hakuna namna utumishi wa umma ulio na uwezo wa kuajiri less than one milioni utafanikisha kiu ya wataka ajira. Acheni kupoteza muda, ondoeni fikra za kupata life Tanzania pekee wazeni nje.
Vijana wakitoka Kwa wingi watapata ujira nje na kutuma fedha zitakazotumika kama mitaji Kwa ndugu zao , vijana wakitoka Watanzania watapata pakufikia HUKO nje. Tutoke
Dar imejaa kila mwanafamilia nchi Hii, hakuna mwenye hofu ntafikia wapi dar maana kila Kijiji kina mtu dar, kwanini tusiamue kuwa na mwanafamilia kila mji Duniani? Tunaweza tuanze Sasa. Tutoke
Tumfate Mkuu wa Uhamiaji atupe pasipoti zetu ambazo amekabidhiwa akae nazo akisubiri tufike watupe, tumpunguzie jam mama Samia Kwa kusambaa kuliko Sasa kila wakati tunampigia kelele atuajiri. Tutoke.
Kama tulivyo wakarimu ndivyo na wenzetu walivyo, tuondoe hofu maana Mabalozi wapo Duniani kote wanalipwa fedha kutulinda tunapoonewa. Tutoke.
Kampeni Hii iwe chachu ya watawala kuwakumbusha vijana wajibu wao wa kutoka , iwe kampeni ya vyuo kutoa elimu ya kujitegemea HUKO nje, ndani tumejaa. Iwe kampeni ya nchi katika kukuza Diplomasia na kupanua mapato yatokanayo na Watanzania waishio nje. Tutoke.
Tunao madaktari na Manesi, tunao vijana wa IT ambao kwa wingi wao tumeshindwa kuwaajiri. Tuwasaidie watoke wakafanye kazi nje mwisho tutawaita wakiwa tayari wamebobea na nimadaktari bingwa. Vijana tokeni