dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,851
π π π π π πWanapenda kuita wenzao mkuu, mheshimiwa, afisaaa, boss na mengine mengi
π π π π π πWanapenda kuita wenzao mkuu, mheshimiwa, afisaaa, boss na mengine mengi
π π π Wanatusimanga sana alafu ukizoea unaona fresh tu.Tupumzisheni jamani kukosa ajira sio dhambi.
Kudadeki π€£π€£π€£Kwahio blaza wewe ulishafanikiwa kujiajiri au kuajiriwa?View attachment 1644361
Utukome,hatujakuomba hela ya kupiga vyomboNimefanikiwa kukutana na kukaa a vijana na washikaji tofauti vijiwe tofauti ila ma jobless wanaongoza kwa kuwaza ujinga sana kuliko namna ya kujikwamua katika hali alio nayo
Unakuta ni kijana anawaza kuendesha gari ya baba kidogo kupiga masela vizinga na wengine wameka kama mitego wanasubiria mzee aanguke wafyatuke
Ukikutana nao element au Samaki Samaki wanagongea bia baalaaaa. Wanapenda kuita wenzao mkuu, mheshimiwa, afisaaa, boss na mengine mengi
Mtu Anaitwa Yuda una anzaje kumuaminiKwahio blaza wewe ulishafanikiwa kujiajiri au kuajiriwa?View attachment 1644361
changamoto sana..ila usichoke kuwa onyesha njia sahihi..kuna watakao badilika.ukijidai unaongea vitu vya maana wanakutenga mkuu wanataka ufanane nao
πππ JamaniUtukome,hatujakuomba hela ya kupiga vyombo
Ameingia cha kike wah chakike wah π π πππππ
...πππ..Kwahio blaza wewe ulishafanikiwa kujiajiri au kuajiriwa?View attachment 1644361