Vijana (Jobless) siku hizi mawazo yao ni Kubet, Ngono, Starehe na Lawama halafu uridhi

Pesaaa kidogo ushaanza kuwaona jobless walevi na wazinzi, haya mambo hayaπŸ˜…
 
Vijana hawa wasiopenda kujishughulisha hayo ndio maisha yao kuwaza starehe maisha yao ni magumu sana wao huwa wanapenda kubeza juhudi za vijana wengine wanaojishughulisha kwamba hawaoni kinachofanyika mwisho wa siku mtu akitoboa wanajisogeza kupigania mizinga
 
sisi wabongo unafik ni kitu cha kawaida aisee, dizaini ya mtoa mada wapo wengi sana mtaan, unaweza kusota na mwana miaka nenda miaka rudi ila akifanikiwa kidogo tu bac anawaona wana ni wazembe na wavivu, yeye ndio kayapatia maisha. Sasa sisi tutabet kama kawaida na dem akijipendekeza atagongwa tu hakuna namna. Sio kila mtu ataajiriwa, watz tupo 60m sidhani kama ajira rasmi zinafika 1m nchi nzima.
 
Nimefanikiwa kukutana na kukaa a vijana na washikaji tofauti vijiwe tofauti ila ma jobless wanaongoza kwa kuwaza ujinga sana kuliko namna ya kujikwamua katika hali alio nayo

Unakuta ni kijana anawaza kuendesha gari ya baba kidogo kupiga masela vizinga na wengine wameka kama mitego wanasubiria mzee aanguke wafyatuke

Ukikutana nao element au Samaki Samaki wanagongea bia baalaaaa. Wanapenda kuita wenzao mkuu, mheshimiwa, afisaaa, boss na mengine mengi
Utukome,hatujakuomba hela ya kupiga vyombo
 
Hivi mkuu AJAX Leo atatoa hata double. Chance maana Nina keka la milion hapawaswas wangu n ajax tu au nimpe Atlanta?
 
Back
Top Bottom