Source: uhurupublications propaganda machinery.
Pro Kikwete hao, siku zote serikali za kidikteta hutumia mbinu hizi za kuhadaa watu na ulimwengu, Mubarack alikuwa akiwalipa watu pro-Mubarack ili wamsaporti stail hiyo hiyo inatumika na Gaddafi ili aonekane bado anapendwa. Vile vile CCM inatumia mbinu hii ionekane bado inahitajika lakini uhalisia imepoteza mvuto machoni mwa wengi ndiyo maana kinajificha kwenye miamvuli ya Kamati ya Vijana wa Tanzania ambayo hatujawahi kuisikia na hatujui viongozi wake wanachaguliwa au wanateuliwa na nani.
Pro Kikwete hao, siku zote serikali za kidikteta hutumia mbinu hizi za kuhadaa watu na ulimwengu, Mubarack alikuwa akiwalipa watu pro-Mubarack ili wamsaporti stail hiyo hiyo inatumika na Gaddafi ili aonekane bado anapendwa. Vile vile CCM inatumia mbinu hii ionekane bado inahitajika lakini uhalisia imepoteza mvuto machoni mwa wengi ndiyo maana kinajificha kwenye miamvuli ya Kamati ya Vijana wa Tanzania ambayo hatujawahi kuisikia na hatujui viongozi wake wanachaguliwa au wanateuliwa na nani.