Mara tuu bada ya ofisi ya chadema kuuchomwa moto na watu wanaosadikiwa ni mahasimu wa siasa...... vijana na wafuasi wa cdm wameingia studio na. kufyatua kibao ambacho si mda kitakuwa hewani .
kaeni mkao wa kula.
Mara tuu bada ya ofisi ya chadema kuuchomwa moto na watu wanaosadikiwa ni mahasimu wa siasa...... vijana na wafuasi wa cdm wameingia studio na. kufyatua kibao ambacho si mda kitakuwa hewani .
kaeni mkao wa kula.
mkuu naona hawa hawajielewi....Sasa hapa kuna uhusiano gani nyimbo na uchomaji wa ofisi.
Mara tuu bada ya ofisi ya chadema kuuchomwa moto na watu wanaosadikiwa ni mahasimu wa siasa...... vijana na wafuasi wa cdm wameingia studio na. kufyatua kibao ambacho si mda kitakuwa hewani .
kaeni mkao wa kula.
atakuwa kawanunulia viroba huyu 'mvamizi/mkimbizi' wa vyama tuliyempokea mwaka juzi tu na sasa amekula ya mbuzi ameota mapembe ndani ya chama kwa msaada wa mbowe kwa kujiona yeye ni zaidi kuliko hata waliokijenga chama !!!!!