Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 9,054
- 25,364
Jana almanusura nimtongoze sister kwenye basi
Ungejaribu bahati yako
Jana almanusura nimtongoze sister kwenye basi
Bahati yaweza kuwa balaa pia..Ila kalikua na tabasam kwel yan..Sema kakahamishwa siti..😁 nilishaanza mchakato wa maongezi sasa cjui kalinusa hatar ???😂😂😂Ungejaribu bahati yako
ukisikia anakojolea pazuri ndio hii mapaja
Oya mbona kama namfahamu huyo demu anaishi Kijitonyama qmqmqqNdugu haka nakatengeneza kwanza nikakaingiza mlimani city hauwezi kuamini kama ni ka HG. Ni mrembo hasa mrf mweupe kama unajua mamiss ndio haka. Kana lips zile za wadada wa mbele zipo kama nyanya nyekundu nyekundu. Hakana matter call ya kuchosha. Ni kazuri kana jua aisee halafu kapo smart tulipima kbs hapa nakavutia muda nikajaze. Kamenituliza halafu ni costless sio akina wale.
Bahati yaweza kuwa balaa pia..Ila kalikua na tabasam kwel yan..Sema kakahamishwa siti.. nilishaanza mchakato wa maongezi sasa cjui kalinusa hatar ???
Ahahahah..Isingewezekanaqq.Nilikua safar kikazi nakwenda mji mwingine nawah appointment na wenye ofis zao na yy akashuka mji mmoja kabla ya mimi na hata sikujua eneo lile linaitwaje?Ungeshuka nae
Ahahahah..Isingewezekanaqq.Nilikua safar kikazi nakwenda mji mwingine nawah appointment na wenye ofis zao na yy akashuka mji mmoja kabla ya mimi na hata sikujua eneo lile linaitwaje?
Matumbo ya bia za buku jero
Hapana komredi huyu anaishi Kigamboni.Oya mbona kama namfahamu huyo demu anaishi Kijitonyama qmqmqq
Maana kuna hiyo mali ipo Kijitonyama ina sifa kama hizo qmqmqq mzee halafu ni dada wa kazi oyaaaa ngoja ninyamaze iyo mali hata kuroga nitaroga nitaua hata mtu chombo kali halafu kitandani ipo vizuri inaakili kama zote iko smart yan Dah shida hiziHapana komredi huyu anaishi Kigamboni.
Hauwezi mkuu kuongea bila kutukana. Washamba ndio wanatukana.Maana kuna hiyo mali ipo Kijitonyama ina sifa kama hizo qmqmqq mzee halafu ni dada wa kazi oyaaaa ngoja ninyamaze iyo mali hata kuroga nitaroga nitaua hata mtu chombo kali halafu kitandani ipo vizuri inaakili kama zote iko smart yan Dah shida hizi
Hapo hakuna tusi mbona au we unaonajeHauwezi mkuu kuongea bila kutukana. Washamba ndio wanatukana.
Mabadiliko;dada wa kazi sifa awe mweupe na chura wa kuzugiaKwa staili hii naombeni kuwa house girl wa mtu, japo nipate CV ya kuolewa mlisema mnataka chura, now ni dada wa kazi tu wanaume mmatuchanganya
Mkuu unachelewa nini sasa ,OAA kabisa huyo, usipoteze muda mkuuNdugu haka nakatengeneza kwanza nikakaingiza mlimani city hauwezi kuamini kama ni ka HG. Ni mrembo hasa mrf mweupe kama unajua mamiss ndio haka. Kana lips zile za wadada wa mbele zipo kama nyanya nyekundu nyekundu. Hakana matter call ya kuchosha. Ni kazuri kana jua aisee halafu kapo smart tulipima kbs hapa nakavutia muda nikajaze. Kamenituliza halafu ni costless sio akina wale.
Kwa anaehitaji dada wa kazi wa kuoa, anicheki.....