Hawa ndiyo vijana wa chadema wanaofanya vizuri nje ya Bunge na wakati mwingine wamekuwa msaada mkubwa kuliko baadhi ya wabunge wa CDM.
1. Amani Golugwa
Kamanda huyu kwasasa ndiyo katibu wa kanda ya kaskazini ni mtu mpole sana na mwenye ushawishi wa aina yake pale anapopewa nafasi ya kuongea jambo Fulani, anakisaidia chama sana kwenye kanda hii ya kaskazini.
Ameiamsha kanda kwa kiwango kikubwa sana, vile vile ni katibu wa mkoa wa Arusha na ameweza kuingiza wabunge wengi bungeni pamoja na madiwani wa kutosha na sasa tunaona eneo la Arusha lilivyomsaada kwa ukombozi wa nchi yetu.
2. Henry Kilewo
Huyu ni kamanda wa chadema kanda maalum ya Dar es salaam akiwa anatokea mkoa wa kinondoni kichama( Katibu wa chadema mkoa wa kinondoni na kanda maalum ya Dar es salaa) vile vile aliwahi kuwa Mratibu wa Muda wa Kanda ya pwani.
Ni kijana jasiri sana tofauti na muonekano wake, ni mtu anayejishusha sana na mwenye kuangalia maslahi ya chama chake kwanza na kulinda sifa ya chama mahala popote pale, kwasasa amejipambanua kuwa Mgombea Ubunge Mwanga 2015 kama chama chake kitampitisha.
3. Ally Bananga
Ni kijana aliyeibuka kutokea upande wa pili wa kisiasa yaani chama cha mapinduzi, kiukweli ameonyesha kipaji chake ambacho nadhani ccm ilikuwa inakimaliza taratibu bila yeye kujua na alipokuja kujua akaona njia pekee ya kuendelea kuwepo kwenye siasa ni chadema na sip engine, Ameonyesha dhamira yake hiyo ya dhati na kwasasa ukimsikia Bananga ni Bananga kweli kweli.
3. Ibra Bashe
Ana nafasi ya kufanya vizuri kwenye siasa za chadema kama ataamua kuwa muwazi na kuingi front kupambana, uwezo wake siyo wa kutiliwa mashaka hata kidogo ni mtu anayejua anatakiwa kufanya kitu gani kwa wakati gani na ni kijana mtaratibu sana na mwenye kuhoji.
4. John Heche
Huyu ni M/kiti wa Taifa wa vijana chadema (Bavicha) Ni mtu asiyeogopa awapo jukwaani ni mtu mwenye msimamo ni mtu asiyeburuzwa ni mtu mwenye maamuzi na kwasasa ndiye mgombea pekee anaye aminiwa kurudisha jimbo la Tarime mi kononi mwa Chadema 2015.
5. Mohamed Mtoi
Ni kijana asiyetambulika sana kwenye majukwaa ya kisiasa ila ni kijana ambaye yupo makini sana kwenye shughuli za chama kwasasa yupo idara ya Kanda ndani ya Makao makuu ya Chama, Siku akipewa fursa ya kuongea na watanzania huenda tukalithibitisha hili bila wasi wasi wowote.
6. James Millya
Nadhani huyu alikuwa kada wa ccm na sasa amekuwa msaada mkubwa sana wa chadema upande wa umasaini na hata kutishia kutokurudi kwa mbunge wa sasa Bungeni 2015, Ni kijana aliyejipambanua na kuwa muwazi katika siasa zake siku za hivi karibuni akiwa upinzani.
7. Mawazo
Kamanda huyu alikuwa Diwani wa kata ya sombetini kwa tiketi ya ccm akaamua kuvua gamba na kuvaa gwanda, bila kusita kamanda mawazo ameweza kuinyanyua kanda ya ziwa na kwasasa ndiyo ICON ya wasukuma, Kamanda anapiga mzigo sijawahi kuona ni noma huyu jamaa.
Hawa ndiyo makamanda wangu ninao waona wapo mstari wa mbele kila kukicha wakishirikiana na makamanda wengine kulikomboa Taifa letu nje ya bunge.
Ombi langu kwa viongozi.
Tunajua tunamakamanda wengi makamanda hawa kwasasa inapaswa makae nao chini muendelee kuwasuka kwani chadema ni chuo cha mafunzo, wapeni nafasi waonyeshe vipaji vyao.
Naamini chaka kama kitaweza kuitumia hiyo list hapo juu vizuri na kuongeza wengine wengi ambao wapo ninauhakika ccm inaweza kupotea hata kabla ya 2015.
Kwa yoyote yule anaweza kuongeza wengine anaowafahamu ...
1. Amani Golugwa
Kamanda huyu kwasasa ndiyo katibu wa kanda ya kaskazini ni mtu mpole sana na mwenye ushawishi wa aina yake pale anapopewa nafasi ya kuongea jambo Fulani, anakisaidia chama sana kwenye kanda hii ya kaskazini.
Ameiamsha kanda kwa kiwango kikubwa sana, vile vile ni katibu wa mkoa wa Arusha na ameweza kuingiza wabunge wengi bungeni pamoja na madiwani wa kutosha na sasa tunaona eneo la Arusha lilivyomsaada kwa ukombozi wa nchi yetu.
2. Henry Kilewo
Huyu ni kamanda wa chadema kanda maalum ya Dar es salaam akiwa anatokea mkoa wa kinondoni kichama( Katibu wa chadema mkoa wa kinondoni na kanda maalum ya Dar es salaa) vile vile aliwahi kuwa Mratibu wa Muda wa Kanda ya pwani.
Ni kijana jasiri sana tofauti na muonekano wake, ni mtu anayejishusha sana na mwenye kuangalia maslahi ya chama chake kwanza na kulinda sifa ya chama mahala popote pale, kwasasa amejipambanua kuwa Mgombea Ubunge Mwanga 2015 kama chama chake kitampitisha.
3. Ally Bananga
Ni kijana aliyeibuka kutokea upande wa pili wa kisiasa yaani chama cha mapinduzi, kiukweli ameonyesha kipaji chake ambacho nadhani ccm ilikuwa inakimaliza taratibu bila yeye kujua na alipokuja kujua akaona njia pekee ya kuendelea kuwepo kwenye siasa ni chadema na sip engine, Ameonyesha dhamira yake hiyo ya dhati na kwasasa ukimsikia Bananga ni Bananga kweli kweli.
3. Ibra Bashe
Ana nafasi ya kufanya vizuri kwenye siasa za chadema kama ataamua kuwa muwazi na kuingi front kupambana, uwezo wake siyo wa kutiliwa mashaka hata kidogo ni mtu anayejua anatakiwa kufanya kitu gani kwa wakati gani na ni kijana mtaratibu sana na mwenye kuhoji.
4. John Heche
Huyu ni M/kiti wa Taifa wa vijana chadema (Bavicha) Ni mtu asiyeogopa awapo jukwaani ni mtu mwenye msimamo ni mtu asiyeburuzwa ni mtu mwenye maamuzi na kwasasa ndiye mgombea pekee anaye aminiwa kurudisha jimbo la Tarime mi kononi mwa Chadema 2015.
5. Mohamed Mtoi
Ni kijana asiyetambulika sana kwenye majukwaa ya kisiasa ila ni kijana ambaye yupo makini sana kwenye shughuli za chama kwasasa yupo idara ya Kanda ndani ya Makao makuu ya Chama, Siku akipewa fursa ya kuongea na watanzania huenda tukalithibitisha hili bila wasi wasi wowote.
6. James Millya
Nadhani huyu alikuwa kada wa ccm na sasa amekuwa msaada mkubwa sana wa chadema upande wa umasaini na hata kutishia kutokurudi kwa mbunge wa sasa Bungeni 2015, Ni kijana aliyejipambanua na kuwa muwazi katika siasa zake siku za hivi karibuni akiwa upinzani.
7. Mawazo
Kamanda huyu alikuwa Diwani wa kata ya sombetini kwa tiketi ya ccm akaamua kuvua gamba na kuvaa gwanda, bila kusita kamanda mawazo ameweza kuinyanyua kanda ya ziwa na kwasasa ndiyo ICON ya wasukuma, Kamanda anapiga mzigo sijawahi kuona ni noma huyu jamaa.
Hawa ndiyo makamanda wangu ninao waona wapo mstari wa mbele kila kukicha wakishirikiana na makamanda wengine kulikomboa Taifa letu nje ya bunge.
Ombi langu kwa viongozi.
Tunajua tunamakamanda wengi makamanda hawa kwasasa inapaswa makae nao chini muendelee kuwasuka kwani chadema ni chuo cha mafunzo, wapeni nafasi waonyeshe vipaji vyao.
Naamini chaka kama kitaweza kuitumia hiyo list hapo juu vizuri na kuongeza wengine wengi ambao wapo ninauhakika ccm inaweza kupotea hata kabla ya 2015.
Kwa yoyote yule anaweza kuongeza wengine anaowafahamu ...