unapenda ugomvi mkuu.yani unamaanisha wanauwezo mkubwa wa kupika majungu?
Nadhani umetumia fasihi kufikisha ujumbe kwa wapika majungu walioumbuka ziara ya Dr Slaa Kigoma ambao ni sixgate,taswira na nyakarungu! aibu kwao na yale magazeti ya kufungia vitumbua DIRA,UHURU,MZALENDO,RAI kwa vijipropaganda vyao vya kitoto! walisahau kuwa ngoma ya watoto huwa haikeshi? Chezea CDM weye! teh... teh teh teh teh...